Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

sidhani kama kuna salon za aina hiyo hapa tanzania. kama unaongelea majuu, huko haituhusu ila kwa bongo hii uanze kushika private parts za mtu mzima ambaye wala sio mke/mme wako, how come?

ni upumbavu uliokithiri

wapi huko wananyoa?

Yani wauza urembo na wasafisha kucha wanafanya pia kazi iyo?!

Taratibu tu mtazoea, kwani si hata suruali kwa wanawake Tanzania ilikua nongwa (dalili ya umalaya) 1980's?
 
Sinza ilikuwepo hii Salon na mm picha ninazo watu wakinyoana vuziziii. Kuna jamaa fulani wanaitwa Fichua Uovu walienda kuwatonya police wakaja kuisambaratisha
 
kazi kwelikweli nachokiana hapa ni kipato huleta ujivuni . Ukienda Mwenge utakuta mdada ama mmama amemwekea mguu pajani kijana wa miaka 19 ama 22 huyo kijana anamsugua kisigino mama kavaa kimini ni ujivuni tu na kukosa muda au adabu hata mi nashindwa kuelewa kama wewe
 
Hizo unazoziita "private parts" siku hizi siyo private tena, ni public kwa kwenda mbele.
 
Zipo wapi hizi saloon, ili niende kupata hio huduma!!
 
Ni kazi ya kitaalamu na pia ni ajira hivyo watu wasipoonda kunyolewa kuna watu watakosa vipato
 
  • Thanks
Reactions: lin
Sema ukweli,ukishaziba utanyoaje????? pale lazima uachame mwaaaaa ili zitoke zote,pale lazima katerero igusweguswe
hahahaha no super man siyo kama unamkaliza uchi mwananmke wmenzio huwa sehemu ile ya siri inazibwa.....hahahaha usihofu sana hakuna tatizo kabisa hapo.......alafu kuna style nyingi kama unataka zingolewe zote au unataaka kuweka punk it depends......
 
Dar siku hizi saloon ni vituko, hizi barber shop unakuta kuna wadada wazuri na wenye mvuto hatari, wao ni kukuosha na kurekebisha kichwa mambo ya superblack na pia facial scrub. Nimewahi enda kunyoa nywele za kichwani na kutestisha zali la facial scrub maana nilichoka kusimuliwa, nilifika saloon moja hapo banana ukongo (Dar), mule ndani kwenye pubs nyingi. Nilipewa facial scrub moja ya hatari huku shati langu likiwa limevuliwa nusu alafu mdada kavaa kivazi kifupi cha shahiri na kimemkumbatia kwa chini kinaonyesha kwa mbali, ni hatari tupu, tuko wawili tu. Yaani ananiletea mtindi mpaka usoni na sauti yake nyororo, alafu vile viti vyao vya kama umelala nyuzi 120 hivi, yeye akaweka mguu wake huku na huku kama anaendesha farasi. Chumba chenyewe cha sindano kipo isolated na kina mandari fulani hivi. Mi niliuchuna tuu mpaka akamaliza, karibu dk 20, ila kichwa changu cha chini kidogo kilichanganyikiwa!! Ila niliinjoi.
Kwa hiyo hata kunyoa nywele za nyeti, ni vikorombwezo tuu vya kuvuta wateja, madume yatafata wanawake, na wanawake watafata madume.
 
Back
Top Bottom