Dar siku hizi saloon ni vituko, hizi barber shop unakuta kuna wadada wazuri na wenye mvuto hatari, wao ni kukuosha na kurekebisha kichwa mambo ya superblack na pia facial scrub. Nimewahi enda kunyoa nywele za kichwani na kutestisha zali la facial scrub maana nilichoka kusimuliwa, nilifika saloon moja hapo banana ukongo (Dar), mule ndani kwenye pubs nyingi. Nilipewa facial scrub moja ya hatari huku shati langu likiwa limevuliwa nusu alafu mdada kavaa kivazi kifupi cha shahiri na kimemkumbatia kwa chini kinaonyesha kwa mbali, ni hatari tupu, tuko wawili tu. Yaani ananiletea mtindi mpaka usoni na sauti yake nyororo, alafu vile viti vyao vya kama umelala nyuzi 120 hivi, yeye akaweka mguu wake huku na huku kama anaendesha farasi. Chumba chenyewe cha sindano kipo isolated na kina mandari fulani hivi. Mi niliuchuna tuu mpaka akamaliza, karibu dk 20, ila kichwa changu cha chini kidogo kilichanganyikiwa!! Ila niliinjoi.
Kwa hiyo hata kunyoa nywele za nyeti, ni vikorombwezo tuu vya kuvuta wateja, madume yatafata wanawake, na wanawake watafata madume.