Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Sisi watanzania cjui ndo tuseme hatujui au ni kaushamba.huu wimbo diamond kautendea haki sana yani mpaka naogopa.kukopy melody au baadhi ya mistari kwenye wimbo ni kawaida ata wenzetu wa ulaya na marekani wana fanya ivyo ..nyimbo nyingi tuu watu wana copy kwa mfano wimbo wa do for love wa 2pac kuna melody na maneno kachukua kwa bob caldwell na kama ngoma ile ya 50 cent wait until tonight nayo kafanya the same kutoka kwa bob womack nawengine wengi wamefanya ivyo ....sembuse kwa diamond.piga kazi kaka, salome wimbo mmoja mtamu na umekaaa kitamaduni zaidi haujawai tokea. Cha msingi yule mama apewe taarifa maana siunajua naye nyumba yake ilibomoka!?
 
Daahh ni ile ya saida imefanyiwa new version sio nyimbo ngeni masikion mwa wabongo lakin dimond kaifanya iwe hai zaid.... chibu ametisha mbaya
 
Video poa,ila sauti sio kabisa lakin ndio hivyo hongera zao
 
Sisi watanzania cjui ndo tuseme hatujui au ni kaushamba.huu wimbo diamond kautendea haki sana yani mpaka naogopa.kukopy melody au baadhi ya mistari kwenye wimbo ni kawaida ata wenzetu wa ulaya na marekani wana fanya ivyo ..nyimbo nyingi tuu watu wana copy kwa mfano wimbo wa do for love wa 2pac kuna melody na maneno kachukua kwa bob caldwell na kama ngoma ile ya 50 cent wait until tonight nayo kafanya the same kutoka kwa bob womack nawengine wengi wamefanya ivyo ....sembuse kwa diamond.piga kazi kaka, salome wimbo mmoja mtamu na umekaaa kitamaduni zaidi haujawai tokea. Cha msingi yule mama apewe taarifa maana siunajua naye nyumba yake ilibomoka!?
Uliyosema yote ni kweli tupu lakini naomba nikusahihishe kitu kidogo tu! Alichofanya Diamond hakiitwi ku-copy bali sampling! Ku-copy ni pale unapo-manipulate wimbo wa mtu mwingine bila ruhusa ya mmiliki wa original material!! Bila shaka hili ndio kosa kubwa kuliko yote na very embarrassing kwenye masuala ya copyright law!! Na kama ulivyosema, ni mambo ya kawaida sana, hayajaanza jana wala juz... na wala hayataisha unless copyright laws zikataze kufanya hivyo!!
Few more terms"
  • Copy--- 100% ni WIZI!!
  • Cover
  • Remake
  • Remix
  • Sampling
 
Ucheshi na sautieee
Amenifanya nammiss tuu
Mwambie asiogope
Aliii ni kipenzi cha watuu
Nitafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zakee
King kibaaaa AJE hizi ndio nyimbo za kudikiliza sio kukopy kopy tu nyimbo za watu hapa
Hii nyimbo unganisha nyimbo 20 za diamond ndio uufikie aje ,sikiliza nisamehe ya Baraka halaf sikikiza alipoimba kiba weweee
Lakim ndio hivyo tuwakubali wote tu ni wety
 
Nlkua naangalia documentary ya 2face aktimiza miaka michache leo (birthday) then wakagusia ishua ya one 8 mpka kutengnza hands across the world na kwa nn hta nxt project watachukuliwa wasanii walewale na 7b walzotoa nklnganisha na ushabiki hovyo wa Tz sishangai why kiba anachukuliwa uzito kuliko diamond kwa magwiji wa music mbelembele....
 
Back
Top Bottom