tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,064
Unaongea point sana kijana mwenzaguWimbo ni poa aliamua kutoa wimbo ya kitamaduni na kafanya fresh.
Dimond hatoi wimbo unaoutaka anatoa wimbo anao utaka na katembea furesh
Huu wimbo nimeupenda saaanaaa yaan utamlipa diamond
Watu wanadhan diamond n zero brain lazma atakua ana rights zote
Naomba kuuliza huyo mwanasheria w saida karol n nani? Na alikuaga waphaterd bwana hahaah kubalin tu
