Wanakodoa kodo team kibakuli wanakodoa kododiamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa saida karoli wa salome kaumix mix
mwanasheria wa saida anapanga kwenda mahakamani
itakuwa nafasi ya saida karoli kurudi kwenye mziki maana atalipwa mamilioni naona
tusubiri tuone
This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016... The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania....The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
wenye wivu wajinyonge team kibakuli macho kuvimba wataisomamimi sio team kiba hata kidogo mimi ni team mond halafu humu tunajadili mada kwa mapana yake sio kwa jazba uswahili peleka insta mkuuWanakodoa kodo team kibakuli wanakodoa kodowenye wivu wajinyonge team kibakuli macho kuvimba wataisoma
Sasa usiwe unaongea bila kujua saida kalori na management yake washapewa hela yao nashangaa ww kulalamika mkuumimi sio team kiba hata kidogo mimi ni team mond halafu humu tunajadili mada kwa mapana yake sio kwa jazba uswahili peleka insta mkuu
sijalalamika ujueSasa usiwe unaongea bila kujua saida kalori na management yake washapewa hela yao nashangaa ww kulalamika mkuu
Kwan wa papa wemba n wa diamond au kasharikishwa msanii gan show nzima anaimba nyimbo moja tuAJE ya KING KIBA inamchanganya sana MONDI hadi usingizi hapati naona anatoa toa nyimbo ovyo mara na papa wemba mara atumie beat ya french montana mara atoe salome yaani jamaa anahaha na AJE STILL IKO HOT
Watu hamkosi kasoro duSauti ya nyimbo nzuri!! Ila wamekosea mavazi wangevaa kihaya au ya kitanzania sio ya kinigeria
mmmh kumbe nawe timu mondi aaaaaaargriiiiih!Ki ukweli wimbo mzuri.