tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,064
Hehee wala usijichoshe mwaya hawa team kariakoo wameshaambiwa waambie dada zao waende ulaya jamanii labda watabadilikaahayo mambo ya kukopi umeleta wewe...mimi sijazungumzia kukopi maana hakuna jipya chini ya jua nilichosema mimi ni kuwa Nisamehe ndio wimbo mbovu toka nimjue Baraka kama unabisha nipangie kwenye hizo ngoma zake ipi itakuwa ya mwisho alafu utaelewa ilipo Point ya msingi
Ali Sample wimbo wa kimasomaso dunia nzima tunajua ni wimbo wa Issa Matona je hiyo ilifanya wimbo huonekani mbovu kisa ali-Sample?!
Jide alirudia Wimbo wa Siweza
Mr.Paul akarudia Zuwena
Christian Bella akarudia Ukimuona
So kurudia wimbo sio kosa na hakufanyi wimbo uwe bovu ukiringanisha na mwingine..na ujue kutofautisha ku-copy na sampling ni vitu viwili tofauti japo zinafanana
Nakupa mfano Bella kwenye wimbo wa Ukimuona ile ni Copy au cover..Na wimbo wa Ali Kimasomaso au huu wa Salome hizi ni Sampling na hiyo inatokea dunia nzima na sio Dar es Salaam peke yake
[HASHTAG]#TeamKariakoo[/HASHTAG]
