Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Viongozi bora wangekaa kimya,kuliko kuahidi visivyotekelezeka.Wangejijengea heshma sana.
 
Magufuli bana,atatuua njaa haki ya mungu!!!!!
We Acha tu.Wafanyabiashara wenyewe wanasubilia wafanyakazi.Watu hawajui tu.Hivi MTU anapomdharau mfanyakazi eti aache akafanye kazi ingine.Anakuwa anafikilia kwa kutumia nini??Mambo ya nchi yataendaje bila wafanyakazi.Wote sasa tuanze kuuza maduka.Au nyanya.Kazi ipoooooo
 
Umepewa maarifa fanyia kazi huo mshahara uzalishe acha kulalamika kama mtoto wa mama
 
Kutokana na serikali kutokuwapa nyongeza ya mshahara watumishi mwaka mpya wa fedha, hali hii itachangia kuongezeka kwa rushwa na kuzorota kwa utoaji wa huduma wa wananchi kwenye taasisi mbali mbali za serikali mfano polisi, hospitalini, shuleni na mahakamani.
Kweli tupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!
 
Nimefuta like nikiyokupa.Unaniudhii sasa shem
Shem, tangu nilipo mrudia Mungu, marachache huwa najisahau kwa mambo ya kidunia.....
Irudishe tu ile like Shem, bado nahitaji maombi ili niwe mkomavu kwenye NENO...
 
Mmmh, sasa wewe unategemea kumuondoa madarakani jiwe kwa kura? Au unatarajia 2020 kijani itoke madarakani? Hapa na wewe usijifariji, la msingi kila mtumishi aangalie njia za kupitia ili kufikia pale alipo dhamiria, si kutegemea 2020 hapatakuwa na jipya, hata Wtz wasipo piga kura wote....nchi ilisha bakwa...
Machozi yamenitokaaaa kwa hii point yako...
 
You gave yourself false hopes. By the way unaweza kujiongezea pato lako kwa kufanya shughuli nyingine za uzalishaji. Watumishi wa umma wa siku hizi, wengi mabishoo. Enzi zetu zile, walimu walikuwa wanafunga ice cream, wanatengeneza maandazi na kuwauzia wanafunzi nk. Kitaa unakuta mtu anafuga ng'ombe, analima mahindi nk. Ukifanya hayo, mshahara wa serikali itakuwa ni kitu cha nyongeza tu.
Yote hayo yanafanyika tena Sana usidhani hakuna.But hali imekuwa Teteeeee.Si kama Zamani.Sijui upo Belgium
 
Nakushangaa sana kwa kufikiria kuwa watumishi wa Umma ndiyo wanaweza kumtoa jiwe madarakani. Idadi yao ni ndogo sana ukilinganisha na wananchi wengine waliobaki. Kwa taarifa yako hawafiki hata laki 7 kwa hiyo hata wakimkataa kwenye kura shangazi zako walioko Ushirombo ambao ndiyo wengi wanampa kura baada ya kupewa kanga pair 1 na kofia.
Jidanganyee.Hao hao Pigia wakishawishi ndugu zao.Usinipe Jibu(Sema huwa haki haitendeki)Mshindi hutangazwa mwingine.Tume Si yao??
 
Back
Top Bottom