Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Salary slip hewani, no increment no ongezeko

You gave yourself false hopes. By the way unaweza kujiongezea pato lako kwa kufanya shughuli nyingine za uzalishaji. Watumishi wa umma wa siku hizi, wengi mabishoo. Enzi zetu zile, walimu walikuwa wanafunga ice cream, wanatengeneza maandazi na kuwauzia wanafunzi nk. Kitaa unakuta mtu anafuga ng'ombe, analima mahindi nk. Ukifanya hayo, mshahara wa serikali itakuwa ni kitu cha nyongeza tu.
Kwa hiyo kama mtumishi wa umma akifanya hayo,ruksa sheria kuvunjwa,ruksa kuminya haki zao!?
Au una maana gani!?
 
Mshahara umeongezwa kwa waalimu tu. Kada nyingine nasikia mwezi August
Walimu wa wapi? Nimeongea na jamaa zangu walimu wananiuliza kama kwenye Taasisi huku tumeongezewa maana kwao bilabila.

Wewe ni mwalimu? Umeongezewa increment yako???
 
Kuna watu wana kera sana asee. Ila wale wahusika hakuna haja ya kuhangaika nao tuwaache wabwabwaje mpaka wachoke.

Ni kweli salary slip zimetoka na hali ni kama ikivyoelezwa mwanzo.

Je cash zishaflow kwenye account?
 
Bora hajaongeza wembe ni ule ule hadi kila mtu ajitambue.
 
Mimi nilifuatilia na aliahidi annual increment itakuwepo lakini nyongeza kama ile ya JK ndiyo haiyakuwepo. Hebu elewa mada mkuu sio mnakurupuka tu
Naona yanatoka kwa MJAMBAJI yamekuja kwangu MTEMA MATE. Punguza hasira hakuna nyongeza wala increment. Kama hivi achia hilo gap hilo wapo watu wakuliziba.
 
nani amkumbuke mtumishi.? oooh nimerejesha nyongeza ya kila mwaka iliyokuwa imeondolewa kwa muda mrefu....shangilio...leo nayo imesitishwa ama kweli....maamuzi ya kujitafutia sifa hayana tija !!!!
 
BADALA YA KUONGEZA SALARY TUMESHUSHA BEI YA BIA KWA ASILIMIA 50...
 
Moja; nakuomba uweke hapa salary slip yako ili tuone km ni kweli au lah!, tunaamini ktk uongo km picha haijaletwa😀
Mbili; sio wote waajiliwa wa serikali yenu😵😵
Tatu: ukiona taasisi za kukopesha pesa zinapunguza riba, changamsha akili yako...acha kulala. Ujue zina muunganiko na taasisi unazotegemea zikuongezee mshahara😱😀😀
Nne, na mwisho: Pesa hazitoshagi hata wakuongeze mara mbili ya mshahara wako sasahivi😛, acha kusubiria embe chini ya mnazi😕😕....

Slogan ya nyongeza ya mshahara, ni kila taasisi wanaitaka ila ndo hivo, 😎😎😎
Confirmed!!! Hakuna salary increament!!!! Labda tusubiri august!!! Ni vizuri kuishi kwa matumaini, ikifika August tutasema labda septemba and son on, ili mradi Standard gauge inaendelea hakuna shida!!! Ni maumivu mpaka basiiiiiiiii!!!!!!!!
 
Ach upumbavu wewe, Kwani uliambiwa kuna nyongeza yoyote itatok mwezi huu? Kw nini mnapenda sana kuwashwawashwa?
Sikiliza tena hotuba ya mei mosi mkuu!!!! Ukisikiliza tena utapita hapa kimya kimya!!
 
Wadau wale waliojiunga na salary slip portal fungueni mjionee wenyewe mi sina mengi aisee
Watumishi wa umma ni sawa na mtoto anayedeka,muongezewe salary kwa vigezo gani,
Majukumu yenu yameongezeka?uzalishaji kwenye mashirika/taasisi zenu umeongezeka?,mmejiendereza kwa kuongeza elimu?
Nyie vipi,yaani sisi tulipe kodi,nyie muongezewe malipo?
Hapa nakubaliana na JPM,aliposema "hapa inapendwa pesa tu,shirika ambalo halina tija futa kabisa"
 
Back
Top Bottom