Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Moja; nakuomba uweke hapa salary slip yako ili tuone km ni kweli au lah!, tunaamini ktk uongo km picha haijaletwa😀
Mbili; sio wote waajiliwa wa serikali yenu😵😵
Tatu: ukiona taasisi za kukopesha pesa zinapunguza riba, changamsha akili yako...acha kulala. Ujue zina muunganiko na taasisi unazotegemea zikuongezee mshahara😱😀😀
Nne, na mwisho: Pesa hazitoshagi hata wakuongeze mara mbili ya mshahara wako sasahivi😛, acha kusubiria embe chini ya mnazi😕😕....

Slogan ya nyongeza ya mshahara, ni kila taasisi wanaitaka ila ndo hivo, 😎😎😎
 
Wadau wale waliojiunga na salary slip portal fungueni mjionee wenyewe mi sina mengi aisee
Si acha kazi kafanye mambo yako kinachokufanya ugande na ajira ya serikali ni nini.....? huku unapata shida tu....waache wale ambao wanajua nini maana ya kujenga nchi hizi masikini kwa moyo wote.
 
Kwani ulichagua viongozi ili waje wakuongeze mshahara??? pole sana!! utapata taabu sana.
 
Mkuu, Salary slips hazitoki bank.
Kama pangekua na ongezeko, lazima ingeonekena kwenye slips wakati hizo taratibu zaki bank zikiendelea.
Mkuu, nakusihi kwa heshima na taadhima usiwafanye watumishi wa serikali hii ni wajinga
Nadhani alimaanisha serikali (hazina) ishalipa mishahara na bado process za kibenki zinaendelea, na kupitia hayo malipo yeye kaona hakuna ongezeko.
 
Kichwa chako kimejaa maji sio bure.
Aweke siri zake Jf ili iweje?
Unataka kuona kama kuna mabadiliko kwani mshahara wake unajua ni kiasi gani?
Kichwa box Jf hapakufai.
Moja; nakuomba uweke hapa salary slip yako ili tuone km ni kweli au lah!, tunaamini ktk uongo km picha haijaletwa😀
Mbili; sio wote waajiliwa wa serikali yenu😵😵
Tatu: ukiona taasisi za kukopesha pesa zinapunguza riba, changamsha akili yako...acha kulala. Ujue zina muunganiko na taasisi unazotegemea zikuongezee mshahara😱😀😀
Nne, na mwisho: Pesa hazitoshagi hata wakuongeze mara mbili ya mshahara wako sasahivi😛, acha kusubiria embe chini ya mnazi😕😕....

Slogan ya nyongeza ya mshahara, ni kila taasisi wanaitaka ila ndo hivo, 😎😎😎
 
Kama Nchi Inakuwa Chin Ya Mifuko Ya Kiongozi Na Siyo Sheria Mimi Mkulima Unategemea Nitakuwa Na Sauti Hata Ya Kumshitua Ili Anitazame? Ndo Maana Nikasema Kiongozi Mkuu Anatakiwa Apikwe Apikike
[HASHTAG]#chamilo[/HASHTAG]
 
Kichwa chako kimejaa maji sio bure.
Aweke siri zake Jf ili iweje?
Unataka kuona kama kuna mabadiliko kwani mshahara wake unajua ni kiasi gani?
Kichwa box Jf hapakufai.
Age yako inaonyesha namna unavyo panic mapema. Upo kwenye foolish age...vumilia tu

Anapoweka bila picha inaonyesha anaweka umbea tu hauna lolote, akileta taarifa aweke kielelezo tuone km kweli hajaongezewa. Aweke salary slip za miezi miwili nyuma tuone km figure haijabadilika kweli. Sio unaleta umbea unataka tukuunge mkono kwa ujinga wa kuficha. Km huna hela wewe huna tu, hata uongezewe mabilioni bado akili yako imelala
 
Back
Top Bottom