Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Watu wana akili za kenge, mpaka waone damu. Kuelewa jambo dogo kwao imekuwa ni ngumu.Endeleeni kusubiri hivi mnataka aongee kisukuma ndio mtaelewa?
JITU lilishatangaza kwamba haliongezi mshahara hata MIA MBOVU mpaka miradi yake anayofikiria itakapokamilika,
LAKINI,
Unakuta mtumishi ana matumaini kabisa mshahara ameongezwa. Hii inadhihirisha WATUMISHI WENGI WA TANZANIA NI "ILLUSIONED" Wanastahili kumwona PSYCHOLOGIST