Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Ndio lengo lake ili watumwe wasiojulikana.
Utakapoweka ndo utakapodakwa
Utakapoweka ndo utakapodakwa
Hivi hamuelewi lugha ya huyu jamaa?? Alishasema msubiri amalize mambo yake.
Mambo huwa hayaishi.Hana,ukipanda miba njiani kwa Jirani yako IPO siku itakuchoma nawe,ukisomesha no watu nawe lzm utaisoma tu.Hivi hamuelewi lugha ya huyu jamaa?? Alishasema msubiri amalize mambo yake.
Ukuda huo unataka kumchota nani wewe salary slip haitoki kabla ya mshahara labda mwenzetu ushapata mshahara
Mkuu, binafsi sioni la kukushauri. Pengine yawezekana umeridhika na kile unacho kipata hapo ulipo, ama hata nikikushauri nini ufanye pia yawezekana sana hicho ambacho nitakushauri kikawa kigumu Sana kwako.Mkuu, unataka tufanyeje sisi watumishi wa umma? Ushauri wako tafadhar
Mimi nilifuatilia na aliahidi annual increment itakuwepo lakini nyongeza kama ile ya JK ndiyo haiyakuwepo. Hebu elewa mada mkuu sio mnakurupuka tuUlifuatilia sherehe za Mei Mosi, 2018 pale Iringa?
Nmekusoma vyema mkuu .Nipo ktk harakati za kuchukua maamuzi magumu saana mwishoni mwaka huu .Mkuu, binafsi sioni la kukushauri. Pengine yawezekana umeridhika na kile unacho kipata hapo ulipo, ama hata nikikushauri nini ufanye pia yawezekana sana hicho ambacho nitakushauri kikawa kigumu Sana kwako.
Pengine naweza tu nikasema kwamba, maamuzi magumu huwa yanahitaji sana individual decision, na hapo unaweza ukajikuta unafanya m-badala kwa moyo wako wote.
Sikuzote napenda kushauri kwamba, kiatu kikikubana nivyema ukakivua, kuliko kusubiri hata kitobolewe na kucha ya kidole.
Mkuu, Mungu akujaalie hekma na busara ili ukasimame vyema pale penye tamanio la moyo wako.Nmekusoma vyema mkuu .Nipo ktk harakati za kuchukua maamuzi magumu saana mwishoni mwaka huu .
acha kaziWadau wale waliojiunga na salary slip portal fungueni mjionee wenyewe mi sina mengi aisee
Amina mkuu.Mkuu, Mungu akujaalie hekma na busara ili ukasimame vyema pale penye tamanio la moyo wako.
acha kulia lia, ooh ongezeko....utapata tabu sana mtoto wa kiumeNani amelia na huyo kichaa wako,mimi napinga kuweka picha ya salary slip hapa labda najibizana na kichaa hajui tumeanzia wapi?
Bora mzazi angepiga punyeto kuliko kuzaa poyoyo kama wewe.
Sent from my H8402 using JamiiForums mobile app
acha kulia lia, ooh ongezeko....utapata tabu sana mtoto wa kiume
Umeongezeka kwa kiasi gani mkuu, watumishi wengine sio walimu huku.Mshahara umeongezwa kwa waalimu tu. Kada nyingine nasikia mwezi August
Nimeipenda hiiSalary slip ndo nini?
Maskini ya Kweli haya??kama Kweli poleeee.Kuna siku Mungu atakukirimia kama Ushimen kwa sasa alivyokirimiwaNimecheka sana na kunifanya nisahau kidogo kama mchana ulipita bila kupata chakula.