Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Pamoja mkuu
Very sorry brother. Ulichosema ni sahihi. No ongezeko tuendelee kupambana na hali zetu
Very sorry brother. Ulichosema ni sahihi. No ongezeko tuendelee kupambana na hali zetu
View attachment 815977
Teh teh...Imefanyika kimyakimya...hata kwenye hati ya mshahara hatujaweka.....usijali.
Kheri wenye mishahara maana wanaenjoy ufalme wa ANKALI,ngoja niendelee kupambana kukata miti nichome MKAA.Wadau wale waliojiunga na salary slip portal fungueni mjionee wenyewe mi sina mengi aisee
Wanatumikia Umma gani hao?Watumishi wa Umma ni viumbe wa ajabu kuwahi kutokea kuishi Duniani.
salary slip huwa zinaanza kutoka kabla ya mshahara ?
Kheri wenye mishahara maana wanaenjoy ufalme wa ANKALI,ngoja niendelee kupambana kukata miti nichome MKAA.
Wanatumikia Umma gani hao?
Lakini bila hao huwezi ishi kwani unatutegemea sana kipndi unajiharishia tunakuosha na kukuhudumia.Unalingine tena?Watumishi wa Umma ni viumbe wa ajabu kuwahi kutokea kuishi Duniani.
Uchaguzi huo hatapata tabu sana ana uhakika atashinda tu hata kwa mtutu!Jiwe halijawahi kuwa na hisia, hivyo pambaneni na hali zenu vinginevyo msubiri mwaka 2020 mtaongezwa kwa ajili ya kuwalaghai kwenye uchaguzi mkuu
Ni kijitobo kilochopo katikati ya mitak0 yako!Salary slip ndo nini?
Lakini bila hao huwezi ishi kwani unatutegemea sana kipndi unajiharishia tunakuosha na kukuhudumia.Unalingine tena?
Mkuu,usiwalaumu watumishi wa umma, Ben' alishawahi kusema "hatuwezi kukabidhisha nchi kwa makaratasi"Na hapo ndipo ninapoonaga watumishi hovyo sana, yaani huwa wanalegezwa hata kwa karanga za kuonjeshwa... tehteehhh
Haa haa haaUchaguzi huo hatapata tabu sana ana uhakika atashinda tu hata kwa mtutu!
Ingia hapo salaryslip.mof.go.tzsalary slip huwa zinaanza kutoka kabla ya mshahara ?
mkuu alikutuma mtu kuwa mtumishi?Ni kijitobo kilochopo katikati ya mitak0 yako!