Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Pamoja na hayo ila mna njaa kali.
Nani hana njaa dunia hii,hiyo ni haki yetu serikali inatoa malipo baada ya huduma hivyo hatuikopi serikali.Boss nipe mchongo nijikwamue niongeze tumiradi maaana huyu msukuma wa chato ukitegemea mshahara pekee tutakufa.
 
Kama una mtaji njoo tufanye biashara.
Nani hana njaa dunia hii,hiyo ni haki yetu serikali inatoa malipo baada ya huduma hivyo hatuikopi serikali.Boss nipe mchongo nijikwamue niongeze tumiradi maaana huyu msukuma wa chato ukitegemea mshahara pekee tutakufa.
 
mishahara ikoingezeka kwa kutangaza-itasababisha mfumuko wa bei-kauli ya waziri mkuu!
 
Back
Top Bottom