pecial
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 735
- 556
ingia wew uwaambie watumishi wenzakoIngia hapo salaryslip.mof.go.tz
utaona kama mkweli au la
ingia wew uwaambie watumishi wenzakoIngia hapo salaryslip.mof.go.tz
utaona kama mkweli au la
Nani hana njaa dunia hii,hiyo ni haki yetu serikali inatoa malipo baada ya huduma hivyo hatuikopi serikali.Boss nipe mchongo nijikwamue niongeze tumiradi maaana huyu msukuma wa chato ukitegemea mshahara pekee tutakufa.Pamoja na hayo ila mna njaa kali.
Sawa mkuuMkuu,usiwalaumu watumishi wa umma, Ben' alishawahi kusema "hatuwezi kukabidhisha nchi kwa makaratasi"
Kapata mshahara wa zambi ya uzinzi uharo au fumaniziUkuda huo unataka kumchota nani wewe salary slip haitoki kabla ya mshahara labda mwenzetu ushapata mshahara
Hata kwenye takehome nako hakuna ila tumewaongezaView attachment 815977
Teh teh...Imefanyika kimyakimya...hata kwenye hati ya mshahara hatujaweka.....usijali.
Nani hana njaa dunia hii,hiyo ni haki yetu serikali inatoa malipo baada ya huduma hivyo hatuikopi serikali.Boss nipe mchongo nijikwamue niongeze tumiradi maaana huyu msukuma wa chato ukitegemea mshahara pekee tutakufa.
Hapana!mkuu alikutuma mtu kuwa mtumishi?
ni moja wa wana member humu jamii forumSalary slip ndo nini?
Nijichange kwanza,nitakutafuta!Kama una mtaji njoo tufanye biashara.
Nijichange kwanza,nitakutafuta!
Jiwe halina hisia. Ndiyo maana halitoki damu.Jiwe halijawahi kuwa na hisia, hivyo pambaneni na hali zenu vinginevyo msubiri mwaka 2020 mtaongezwa kwa ajili ya kuwalaghai kwenye uchaguzi mkuu
mishahara ikoingezeka kwa kutangaza-itasababisha mfumuko wa bei-kauli ya waziri mkuu!
sasa output yao yenyewe ni sawa na zero,waongezewe mshahara wa nini?Na hapo ndipo ninapoonaga watumishi hovyo sana, yaani huwa wanalegezwa hata kwa karanga za kuonjeshwa... tehteehhh
Yaani ni kama kuchukua mswaki, kukaa juu ya kitanda cha futi sita kwa sita, kisha kuongea kikawaida.......Salary slip ndo nini?
Mkuu, kwa hiyo comment yako... Sinto shangaa ukirogwa.... tehteehhhsasa output yao yenyewe ni sawa na zero,waongezewe mshahara wa nini?
NonsenseSi acha kazi kafanye mambo yako kinachokufanya ugande na ajira ya serikali ni nini.....? huku unapata shida tu....waache wale ambao wanajua nini maana ya kujenga nchi hizi masikini kwa moyo wote.