upo kijana......asante nawe nakutakia upendo mwingi
upendo wa agape sio huo wako wa naniluuu
Heheheheee eti upendwe lol nani akupende?We kakoroge harmal unywe mwenyewe napeta tu sina roho ya paka kwa jinsi ninavyopendwa hadi najionea wivu najihsi mtoto wa miaka 12
upo kijana......asante nawe nakutakia upendo mwingi
upendo wa agape sio huo wako wa naniluuu
Kwa niaba ya Amyner ;
Nimeona niwarushie salamu za valentine mapemaa kwa kuwa nimewakumbuka sana na siwezi kusubiri hadi siku hiyo ifike! Kwa upendeleo naomba Kipipi uzipokee salamu zangu za dhati kwa upendo wako ambao hausemeki!
Rafiki zangu Chimbuvu TANMO Baba V noahism watu8 BAGAH Slave kapsitrano Nicas Mtei Smiling Saint Katavi moto2012 Mwanyasi KakaKiiza C6 na Young Master nawasalimu sana.
Pia kwa wana Arusha Mr Rocky PakaJimmy Preta sweetlady Preta Mzee wa Rula Lily Flower Filipo na mkeo marejesho Mungi LiverpoolFC Blaki Womani Arushaone Tonykp na Kabakabana nawamiss sana aisee.
Chit chat ladies bila shaka you are the best! Salamu kwa Remmy (I miss your love) Arabela (Ntakuja Tanga) KOKUTONA (Mtunze Erick) AshaDii Smile Madame B (Tukutane kuleeee kwa Evelyn Salt na kisukari ) YNNAH (Nakumiss) nivea King'asti Mamndenyi gfsonwin FP BADILI TABIA (Umepotea sana) CUTE (Long time) ladyfurahia passion lady (Pamoja mdada) Kongosho (Ushazeeka) The secretary (Usinizoee) mwaJ beibe nasty Paloma
Babu zangu Dark City na Asprin na mzee Bishanga na mzee Mtambuzi salamu zenu!
Special greetings kwa charminglady Roulette Judgement Invisible
Ujumbe wangu: Tuishi kwa upendo na mshikamano...Upendo hauna gharama!
Copy kwa Amyner
Heheheheee eti upendwe lol nani akupende?
Huna haya aibu we ngoja wanaopenda matapishi km Bishanga ila sio watanashati na masharobaro.
We ushaepure
Dah mkuu upo?Hivi Erickb52 hii mada inaruhusiwa kuchakachuliwa, kuna mtu nimemuona hapa nataka kumchokoza..???