safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,312
- 18,177
Tatizo sio salamu,tatizo ni hao wazee na fikra zao za kiuwoga uwoga.Pia maofisini wazee wengi tu ukifanya nao kazi sana mkiwa na urafiki hawapendi uwape shikamoo hata kama amekuzidi sana.
Ni salamu iliyojengwa na misingi ya woga sio heshima.
Wewe unaewaza shikamoo ni utumwa ndo mwenye attizoo,mwenye fikra za kitumwatumwa.
Shikamoo sio tatizo tatizo ni watu