haya mambo hayapangwi kisheria huanza kama tabia , Kisha tabia ikikomaa huwa ni utamaduni . kwani siku mnaanza kusalimiana Shikamoo mlitunga Sheria ? afu unajistress kwa vitu minor we amka asubuhi mwambie babako na mamako mambo vipi !!! uje utupe majibu hapa imekuajeNi mvurugano tu. Mbona makabila hayana hii salamu watu wote wanatumia salamu moja iwe mdogo au mkubwa. Inasemekana hii salamu imetokana na maisha ya utumwa. Kwa nini tumeishikilia kama salamu rasmi ya Kiswahili?
Hivi unajuaje kama mtu uliyekutana nae mara ya kwanza unastahili kumpa shikamoo kwa kumwangalia kwa macho? Ni mtu aliyekuzidi miaka mingapi anastahili hii salamu?
Solution itafutwe salamu moja ya Kiswahili itakayotumiwa na watu wa rika zote kama ilivo salamu za kidini, lugha za kigeni na lugha za makabila yetu. Tuondoe huu mvurugano kwenye jamii. Kama Serikali haina mbadala wa hii salamu itangaze mashindano wananchi wapendekeze mbadala.
C.c. Wizara ya Sanaa na Utamaduni
C.c. BAKITA
C.c. TATAKI
Nyie mnakosea.hiyo shikamoo ukijagundua uliemsalimia hivo umemzidi umri au aliekusalimia hivo ni mzee zaidi yako, unabaki na maswali mengi kichwani, inakera sana dah!!!!!
Heshima yako hhhhhHeshima yako
Unawezakunipa tafsiri ya neno SAMAHANI ?Haya sasa tupeni tafsiri ya hayo maneno;
🇹🇿 SHIKAMOO
🇹🇿MARAHABA
Hio salamu ya kingese halafu unakuta jitu zima linang’ang’ania lipewe shkamoo! Ufala kweli yani😅Ni mvurugano tu. Mbona makabila hayana hii salamu watu wote wanatumia salamu moja iwe mdogo au mkubwa. Inasemekana hii salamu imetokana na maisha ya utumwa. Kwa nini tumeishikilia kama salamu rasmi ya Kiswahili?
Hivi unajuaje kama mtu uliyekutana nae mara ya kwanza unastahili kumpa shikamoo kwa kumwangalia kwa macho? Ni mtu aliyekuzidi miaka mingapi anastahili hii salamu?
Solution itafutwe salamu moja ya Kiswahili itakayotumiwa na watu wa rika zote kama ilivo salamu za kidini, lugha za kigeni na lugha za makabila yetu. Tuondoe huu mvurugano kwenye jamii. Kama Serikali haina mbadala wa hii salamu itangaze mashindano wananchi wapendekeze mbadala.
C.c. Wizara ya Sanaa na Utamaduni
C.c. BAKITA
C.c. TATAKI
Officially, iwe MAMBO poa, au sio poaNi mvurugano tu. Mbona makabila hayana hii salamu watu wote wanatumia salamu moja iwe mdogo au mkubwa. Inasemekana hii salamu imetokana na maisha ya utumwa. Kwa nini tumeishikilia kama salamu rasmi ya Kiswahili?
Hivi unajuaje kama mtu uliyekutana nae mara ya kwanza unastahili kumpa shikamoo kwa kumwangalia kwa macho? Ni mtu aliyekuzidi miaka mingapi anastahili hii salamu?
Solution itafutwe salamu moja ya Kiswahili itakayotumiwa na watu wa rika zote kama ilivo salamu za kidini, lugha za kigeni na lugha za makabila yetu. Tuondoe huu mvurugano kwenye jamii. Kama Serikali haina mbadala wa hii salamu itangaze mashindano wananchi wapendekeze mbadala.
C.c. Wizara ya Sanaa na Utamaduni
C.c. BAKITA
C.c. TATAKI
unakutana na mwanamama huelewi kama ni mdada au mmama tena wanawake ndo wanachanganya kweli, unawaza wee huyu nimpe shkamoo au za saizi?Nyie mnakosea.
Unatakiwa umuamkie mtu ambaye hasa unaona ni mzee kakuzidi.
Mimi mtu ambaye anaweza kunizaa kwa umri wake ndio namuamkia..
Tuone nini?Ngoja tuone...