Hii salamu ya shikamoo imekaaje?

Hii salamu ya shikamoo imekaaje?

king edo

Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
29
Reaction score
41
Huwa najiuliza maswali mengi, kwa ufahamu wangu mdogo najua salamu ni kujuliana hali baina ya watu

Ila napata mkanganyiko kwenye salamu kwa kutumia neno shikamoo maana naona halina maana ya kujua hali kwani ukisalimiwa shikamoo jibu ni marhaba, kwahiyo hata kama unatatzo utajibu marhaba

Mbaya zaidi yule anayekusalimia kama ni mtoto hapati haki yake ya yeye pia kujuliwa hali ila ataulizwa hujambo jibu lake lazima aseme sijambo awe na tatizo au asiwe na tatizo atajibu sijambo

Mimi naona salamu sahihi ni habari yako ,hiyo ndo inaleta uhalisia wa salamu ya kweli.

Soma pia
 
Au watu na kiingereza chao wanakwambia good morning wakati we umeamka na hangover. Wewe ananiona mimi niko na good morning kweli?
 
Shikamooo

Marhaba hujambo?

Najisikia vibaya tumbo linaniuma hakuna ulazma wa kusema sijambo
Unajisikia au unahisi tumbo kukuuma??

Kuhusu salamu ya "shikamoo", mimi pia sikubaliani nayo, imekaa ki tumwa. Sijui kwa nini wazee wetu hawakuliona hilo wakaifutilia mbali tangu enzi hizo.

Tungebaki na " Habari yako" au "Habari ya Asubuhi, Mchana au Usiku"

Ukiangalia kwenye lugha zetu za asili, salamu imekaa kistaarabu sana.
 
Huwa najiuliza maswali mengi, kwa ufahamu wangu mdogo najua salamu ni kujuliana hali baina ya watu

Ila napata mkanganyiko kwenye salamu kwa kutumia neno shikamoo maana naona halina maana ya kujua hali kwani ukisalimiwa shikamoo jibu ni marhaba, kwahiyo hata kama unatatzo utajibu marhaba

Mbaya zaidi yule anayekusalimia kama ni mtoto hapati haki yake ya yeye pia kujuliwa hali ila ataulizwa hujambo jibu lake lazima aseme sijambo awe na tatizo au asiwe na tatizo atajibu sijambo

Mimi naona salamu sahihi ni habari yako ,hiyo ndo inaleta uhalisia wa salamu ya kweli.

Soma pia
Ni Mambo ya tamaduni an usipo mwambia shikamoo mtu aliyekuzidi unaonekana gaidi na muhaini huna adabu kabisaaa
 
Unajisikia au unahisi tumbo kukuuma??

Kuhusu salamu ya "shikamoo", mimi pia sikubaliani nayo, imekaa ki tumwa. Sijui kwa nini wazee wetu hawakuliona hilo wakaifutilia mbali tangu enzi hizo.

Tungebaki na " Habari yako" au "Habari ya Asubuhi, Mchana au Usiku"

Ukiangalia kwenye lugha zetu za asili, salamu imekaa kistaarabu sana.
mkuu ebu toa tofauti hati ya kujisikia na kuhisi

Hila la shikamoo ni salamu japokuwa watu hatujui maana yake lakn kulingana jamii ilivyozoea itakuwa ajabu sana mtoto wa dalasa la pili akamsalimia mwalimu wake hbr ya asubuhi haita kaa gudi
 
Huwa najiuliza maswali mengi, kwa ufahamu wangu mdogo najua salamu ni kujuliana hali baina ya watu

Ila napata mkanganyiko kwenye salamu kwa kutumia neno shikamoo maana naona halina maana ya kujua hali kwani ukisalimiwa shikamoo jibu ni marhaba, kwahiyo hata kama unatatzo utajibu marhaba

Mbaya zaidi yule anayekusalimia kama ni mtoto hapati haki yake ya yeye pia kujuliwa hali ila ataulizwa hujambo jibu lake lazima aseme sijambo awe na tatizo au asiwe na tatizo atajibu sijambo

Mimi naona salamu sahihi ni habari yako ,hiyo ndo inaleta uhalisia wa salamu ya kweli.

Soma pia
shikamoo maana yake nipo chini ya miguu yako.

Hii imekaa kitumwa sana
 
Unajisikia au unahisi tumbo kukuuma??

Kuhusu salamu ya "shikamoo", mimi pia sikubaliani nayo, imekaa ki tumwa. Sijui kwa nini wazee wetu hawakuliona hilo wakaifutilia mbali tangu enzi hizo.

Tungebaki na " Habari yako" au "Habari ya Asubuhi, Mchana au Usiku"

Ukiangalia kwenye lugha zetu za asili, salamu imekaa kistaarabu sana.

Uko sahihi🤝
 
mkuu ebu toa tofauti hati ya kujisikia na kuhisi

Hila la shikamoo ni salamu japokuwa watu hatujui maana yake lakn kulingana jamii ilivyozoea itakuwa ajabu sana mtoto wa dalasa la pili akamsalimia mwalimu wake hbr ya asubuhi haita kaa gudi

Vipi akisema habari mwalimu ?
 
Back
Top Bottom