Huwa najiuliza maswali mengi, kwa ufahamu wangu mdogo najua salamu ni kujuliana hali baina ya watu
Ila napata mkanganyiko kwenye salamu kwa kutumia neno shikamoo maana naona halina maana ya kujua hali kwani ukisalimiwa shikamoo jibu ni marhaba, kwahiyo hata kama unatatzo utajibu marhaba
Mbaya zaidi yule anayekusalimia kama ni mtoto hapati haki yake ya yeye pia kujuliwa hali ila ataulizwa hujambo jibu lake lazima aseme sijambo awe na tatizo au asiwe na tatizo atajibu sijambo
Mimi naona salamu sahihi ni habari yako ,hiyo ndo inaleta uhalisia wa salamu ya kweli.
Soma pia
Ila napata mkanganyiko kwenye salamu kwa kutumia neno shikamoo maana naona halina maana ya kujua hali kwani ukisalimiwa shikamoo jibu ni marhaba, kwahiyo hata kama unatatzo utajibu marhaba
Mbaya zaidi yule anayekusalimia kama ni mtoto hapati haki yake ya yeye pia kujuliwa hali ila ataulizwa hujambo jibu lake lazima aseme sijambo awe na tatizo au asiwe na tatizo atajibu sijambo
Mimi naona salamu sahihi ni habari yako ,hiyo ndo inaleta uhalisia wa salamu ya kweli.
Soma pia