Ili iwejeWakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Ili iwejeWakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Tumuandalie Baby showerIli iweje
Du watu mna majibuMfano, we umechangia hapa imekusaidia nini..??
Wa hivyo hiyo ndo dawa yao... Hakunaga haja ya matusi... Matusi ni dalili ya kuishiwa hoja..Du watu mna majibu
Umenichekesha, Sugu anatoka bungeni kumkimbia akiwa Mbeya huyo ndio dada yake na kimbilio lake. Siasa wakati mwingine haina maana.Na yeye amuite mwanae Tulia.
Uzuri wa hili jina halina jinsia. Kote linakubali.
Si mchezoUmenichekesha, Sugu anatoka bungeni kumkimbia akiwa Mbeya huyo ndio dada yake na kimbilio lake. Siasa wakati mwingine haina maana.
Hua wanaongea nje ya bunge.??Umenichekesha, Sugu anatoka bungeni kumkimbia akiwa Mbeya huyo ndio dada yake na kimbilio lake. Siasa wakati mwingine haina maana.
MsuteMtoto wa kiume unaanzisha maada kabisa. Salama apata mimba, so what, cha ajabu kipi, kwani hana costant "k", achana na udaku mkuu, niwie radhi lakini
chaajabu ni salama kubeba mimbaKwan cha ajabu kiv yeye si mwanamke kubeba mimba desturi yao
Mmmmh....Weka video jinsi hiyo mimba ilivo ingia kama attachment