Tetesi: Salama Jabir apigwa mimba

Kumbe na wewe umeleta kama tetesi kwa kuwa hujasoma gazeti? Acha hiyo mambo aisee
 
wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Hatushangai mwanamke kuwa mja mzito labda kama kuna jingine, Salama ni ke
 
Back
Top Bottom