Salaamu kwa Wanaume.

Salaamu kwa Wanaume.

Mom,
Nashauri kumuamini Mungu pekee.



hawa wengine ni trojan horse tu, na ni vizuri utathimini upya na uchunguze vizuri kwa makini na bilashaka yoyote, utakuja kunishukuru.

Na sio kwamba nawachonganisha, la hasha, bali dhamira yangu ni kuwaimarisha zaidi katika roho na kweli 🐒
Huwezi kunichonganisha na Lamomy huyo ni mzaramo mwenzangu wa mwanalumango,hana baya
 
Back
Top Bottom