Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
wapendwa wana jamii nawaomba muungane na mimi katika sala ,tumuombee mwana jf mwenzetu angel msoffe.amefanyiwa operesheni juzi usiku na kafanikiwa kupata mtoto wa kiume japokuwa hakuwa amefikisha umri lakini mungu saidia mama na mtoto wanaendelea vizuri na bado wapo kcmc wanaendelea na matibabu