Sala Maalumu ya kuombea Haki na Amani ya nchini Tanzania kama ilivyotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

Sala Maalumu ya kuombea Haki na Amani ya nchini Tanzania kama ilivyotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
SALA YA KUOMBEA HAKI NA AMANI

Ee Mungu tunakusifu, tunakuheshimu, tunakutukuza, tunakuabudu na kukushukuru sisi Watanzania kwa kutujalia Nchi nzuri. Tunakushukuru pia kwa zawadi ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei 2025.

Tukiwa Mahujaji katika Matumaini, tunakuomba utuepushe na changamoto zinazoweza kuvuruga Haki na Amani. Jaza nyoyo zetu Mapendo yako ili wote tuwajibike kiaminifu, na utuunganishe ili kuishi kama ndugu wa familia moja.

Ee Mwenyezi Mungu, uongozi wa kweli unatoka kwako. Tunakuomba uijalie Nchi yetu viongozi wema na waadilifu watakaoliongoza Taifa letu kuishi tunu za Upendo, Ukweli, Haki na Amani.

Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu. Amina.

Bikira Maria Mtakatifu Mkingiwa dhambi ya Asili, Mlinzi wa Taifa letu.

Utuombee.


 
Sala Maalumu ya kuombea Haki na Amani ya nchini Tanzania kama ilivyotolewa na Baraza la
Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC ).

SALA YA KUOMBEA HAKI NA AMANI

Ee Mungu tunakusifu, tunakuheshimu, tunakutukuza,
tunakuabudu na kukushukuru sisi Watanzania kwa kutujalia Nchi nzuri. Tunakushukuru pia kwa zawadi ya
Mwaka Mtakatifu wa Jubilei 2025.

Tukiwa Mahujaji katika Matumaini, tunakuomba utuepushe
na changamoto zinazoweza kuvuruga Haki na Amani. Jaza nyoyo zetu Mapendo yako ili wote tuwajibike kiaminifu, na utuunganishe ili kuishi kama ndugu wa familia moja.

Ee Mwenyezi Mungu, uongozi wa kweli unatoka kwako. Tunakuomba uijalie Nchi yetu viongozi wema na waadilifu watakaoliongoza Taifa letu kuishi tunu za Upendo, Ukweli, Haki na Amani.

Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu. Amina.
Bikira Maria Mtakatifu Mkingiwa dhambi ya Asili, Mlinzi wa Taifa letu.
Utuombee.

 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
Watu walishakujua wewe
Hauna madhara yoyote yale
 
Hayabmambo ya dini ndio yanasababisha Africa isiendee,ujinga ujinga mtupu.
Kwani umelazimishwa? Kama kwako huo ni ujinga mtupu, si uupuuzie tu na kuendelea na mambo yako yanayokuletea maendeleo? Tuache tunaoona kwamba ni ya maana tubaki nyuma kimaendeleo.
 
SALA YA KUOMBEA HAKI NA AMANI

Ee Mungu tunakusifu, tunakuheshimu, tunakutukuza, tunakuabudu na kukushukuru sisi Watanzania kwa kutujalia Nchi nzuri. Tunakushukuru pia kwa zawadi ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei 2025.

Tukiwa Mahujaji katika Matumaini, tunakuomba utuepushe na changamoto zinazoweza kuvuruga Haki na Amani. Jaza nyoyo zetu Mapendo yako ili wote tuwajibike kiaminifu, na utuunganishe ili kuishi kama ndugu wa familia moja.

Ee Mwenyezi Mungu, uongozi wa kweli unatoka kwako. Tunakuomba uijalie Nchi yetu viongozi wema na waadilifu watakaoliongoza Taifa letu kuishi tunu za Upendo, Ukweli, Haki na Amani.

Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu. Amina.

Bikira Maria Mtakatifu Mkingiwa dhambi ya Asili, Mlinzi wa Taifa letu.

Utuombee.

Kenge wengine,hawa kila kitu kwao ni maombi tu! Amani, inatafutwa kwa ncha ya upanga,akili, mikakati,sio kuhusu masanamu, ya, yesu na bikira malia,
Wajapan, Korea, hawa kufanya maombi kutengeneza Land cruiser LC300, na samsung Galaxy!
 
Back
Top Bottom