Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Tanzania Daima mbona hamuandiki jinsi Boss wenu alivyomuua Chacha Wangwe!!!! naomba mnipigie simu ili niwasimulie jinsi ya Boss wenu alivyomuua Chacha wangwe.
Hebu mtaje huyo bosi ambaye alikuwa ndiye dereva siku mauti ilipomkuta Wangwe.

Hakuna haja ya simu post it here, Mwampamba. Mimi binafsi sipendi binadamu mwenzangu ateswa kwa namna yoyote.
 
Basi kwa hoja yako ni kuwa wewe wasema hivi nami nasema vile lakini hatupaswi kuchallenge hoja. Naomba tu maelezo (kama unataka kutetea hoja yako) je ni uongo upi wa Rajabu na kwanini ni uwongo, tushirikishe hayo matobo katika maelezo ya Rajabu
Approach yako ya mwanzo inabainisha hata kama nikikupa maelezo mengi huwezi kunielewa vizuri. Kwa kukushirikisha labda unielimishe kwa hiki kiduchu.

Hivi katika story hii umejiuliza kwa nini halikutajwa jina la hotel ambayo kwa maelezo ya Kihawa ilitayalishwa kwa ajiri ya utesaji wa wananchi 'wasio na hatia' wakati jina la Rais kikwete ambaye ndiye kiongozi mkuu kabisa nchini limetajwa na kudodoswa katika maelezo na huku pia wengine wote wakitajwa kwa majina na sehemu walizokuwa zimetajwa?.
 
du!!!! kweli ndiyo maana chadema wanasema tumeanza na mungu na tutamaliza na mungu, vinginevyo ni ngumu sana
 
We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. It’s almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.

By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.


Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.

Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.

Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.


This is truly more than gutter politics.

NG'WAMAPALALA;
Binafsi ninachokiona deep inside your heart (kupitia andiko lako hili) baada ya kuisoma habari hii ni mshtuko (shock) na sasa unatafuta pa kushika. Nikuambie kitu mkuu?, Kila mtu mpenda haki, amani na usawa aki-refer matukio ya watu walioteseka gerezani kwa makosa ya UGAIDI na yanayodaiwa kuwa ni ya KUTENGENEZWA TU NA WATU FLANI KWA MASLAHI YAO BAINAFSI KISIASA na akiisoma hii story inayowahusisha viongozi wakubwa serikalini na katika jamii mpaka IKULU yenyewe ni LAZIMA atakuwa shocked!!..Mimi nilipoisoma mpaka nimechoka kabisa!!..Na hii maana yake ni kwamba kila mmoja atakuja kivyake kuutetea upande ulioguswa kulingana na maslahi yake;
  • Mfano, kwa upande wa ndugu,jamaa na marafiki wa hawa watu walioteswa na kubambikiwa kesi ya kosa hili la UGAIDI kwa upande mmoja na CHADEMA ambao hawa walikuwa ni wafuasi na viongozi wao kwa upande mwingine pamoja na wapenzi na wafuasi wao; kwao, defenately ni habari njema kwani wanajua sasa chanzo cha matatizo yao na kwa namna yeyote ni lazima wailaani serikali na vyombo vyake kwa sababu ndiyo inayosimamia sheria na taratibu katika nchi.....Hapa maana yake; DON'T EXPECT HONEST AND POSITIVE RESPONSE FROM THEM.......AND THEY ARE RIGHT!!
  • On the other hand, kwa upande wa pili yaani wale wanaohusishwa na tuhuma hizi serikali (i.e police, viongozi wa serikali...SOPHIA SIMBA NA IKULU na wafuasi wao walio ndani au nje ya system) ....Kwanza nao lazima watakuwa shocked na kujishangaa kwani jambo ulilokuwa unatenda ktk siri linapotoka nje ktk public lazima ushtuke na utafute namna ya kuji - defend NO MATTER ni la KWELI au UONGO!!

SASA HAPA;
WHO ARE NOT HONEST/DISHONEST? Je , ni hawa wanaobambikiza kesi za UGAIDI wapinzani na wakosoaji wa serikali na chama tawala au? Je, ni gazeti lililokuja na habari hii ya kufichua uovu( hata kama unatendwa na ofisa wa serikali kwa kisingizio cha kutimiza wajibu lakini kinyume cha sheria) unaotendwa na (baadhi) ya viongozi wa serikali na CCM kwa kushikikiana na (baadhi) ya maafisa wa jeshi la polisi ? Kwa nini umetumia personal pronoun "WE" badala "THEY"? Je wewe ni miongoni mwao?.......Me, mkuu, I am not among "THOSE" - "WE" kwa sababu sisi tunapinga kwa nguvu zote uonevu na ukiukwaji wa sheria iwe unafanywa na mtu, serikali au taasisi yeyote hasa JESHI LA POLISI!!

Gutter politics? Who are doing "GUTTER POLITICS?", Mimi nadhani wanasiasa walioko madarakani ndio wanafanya SIASA ZA MAJI TAKA(reje kauli ya Rastam Azizi wa CCM aliyoitoa wakati anajiuzulu ubunge - jimbo la Igunga)

VIPI STORY YA GAZETI KUCHANGANYA UKWELI NA UONGO?

Mimi naikiri huu ni mtazamo wako labda tu kwa sababu na wewe ni wale walioko upande ule mwingine unaoumiza wengine kwa kutumia mfumo wa utawala, kwa sababu;
  • Gazeti la Tanzania Daima chanzo cha habari hii liko kisheria na kila linapotoa habari yeyote ni lazima lijiridhishe kuwa imekidhi matakwa ya kihabari na kisheria pia.So mtu mwingine from no where kujitokeza na kuanza kusema ni uongo ni lazima atakuwa na hisia zake. Otherwise anyedhani kalishwa maneno au kasemewa uongo afuate taratibu za kisheria kupata haki yake!!
  • Na je,si kuna watu wamenukuliwa na kutajwa kwa majina kabisa wakitoa hizi shutuma na kwa hiyo wamerokodiwa na kwa maana hiyo wako tayari kuyatoa mahali popote pale na kuthibitisha na ina maana

Ni lazima tukubaliane kuwa mambo ndani ya serikali si shwari!!..Kuna kundi la viongozi waandamizi ndani ya CCM na serikali wana ushirika na baadhi ya maafisa wa jeshi la polisi kuleta sifa mbaya kwa serikali yoote, CCM yooote na JESHI LA POLISI LOOOOTE. Hawa ndio waratibu wa mambo yoote maovu yanayoendelea sasa na hawa ndio wanaoharibu amani ya nchi.Kutafuta tatizo nje ya hapo kwa mtazamo wangu ni kujilisha upepo tu!!
 
We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. It’s almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.

By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.


Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.

Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.

Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.


This is truly more than gutter politics.

NG'WAMAPALALA;
Binafsi ninachokiona deep inside your heart (kupitia andiko lako hili) baada ya kuisoma habari hii ni mshtuko (shock) na sasa unatafuta pa kushika. Nikuambie kitu mkuu?, Kila mtu mpenda haki, amani na usawa aki-refer matukio ya watu walioteseka gerezani kwa makosa ya UGAIDI na yanayodaiwa kuwa ni ya KUTENGENEZWA TU NA WATU FLANI KWA MASLAHI YAO BAINAFSI KISIASA na akiisoma hii story inayowahusisha viongozi wakubwa serikalini na katika jamii mpaka IKULU yenyewe ni LAZIMA atakuwa shocked!!..Mimi nilipoisoma mpaka nimechoka kabisa!!..Na hii maana yake ni kwamba kila mmoja atakuja kivyake kuutetea upande ulioguswa kulingana na maslahi yake;
  • Mfano, kwa upande wa ndugu,jamaa na marafiki wa hawa watu walioteswa na kubambikiwa kesi ya kosa hili la UGAIDI kwa upande mmoja na CHADEMA ambao hawa walikuwa ni wafuasi na viongozi wao kwa upande mwingine pamoja na wapenzi na wafuasi wao; kwao, defenately ni habari njema kwani wanajua sasa chanzo cha matatizo yao na kwa namna yeyote ni lazima wailaani serikali na vyombo vyake kwa sababu ndiyo inayosimamia sheria na taratibu katika nchi.....Hapa maana yake; DON'T EXPECT HONEST AND POSITIVE RESPONSE FROM THEM.......AND THEY ARE RIGHT!!
  • On the other hand, kwa upande wa pili yaani wale wanaohusishwa na tuhuma hizi serikali (i.e police, viongozi wa serikali...SOPHIA SIMBA NA IKULU na wafuasi wao walio ndani au nje ya system) ....Kwanza nao lazima watakuwa shocked na kujishangaa kwani jambo ulilokuwa unatenda ktk siri linapotoka nje ktk public lazima ushtuke na utafute namna ya kuji - defend NO MATTER ni la KWELI au UONGO!!

SASA HAPA;
WHO ARE NOT HONEST/DISHONEST? Je , ni hawa wanaobambikiza kesi za UGAIDI wapinzani na wakosoaji wa serikali na chama tawala au? Je, ni gazeti lililokuja na habari hii ya kufichua uovu( hata kama unatendwa na ofisa wa serikali kwa kisingizio cha kutimiza wajibu lakini kinyume cha sheria) unaotendwa na (baadhi) ya viongozi wa serikali na CCM kwa kushikikiana na (baadhi) ya maafisa wa jeshi la polisi ? Kwa nini umetumia personal pronoun "WE" badala "THEY"? Je wewe ni miongoni mwao?.......Me, mkuu, I am not among "THOSE" - "WE" kwa sababu sisi tunapinga kwa nguvu zote uonevu na ukiukwaji wa sheria iwe unafanywa na mtu, serikali au taasisi yeyote hasa JESHI LA POLISI!!

Gutter politics? Who are doing "GUTTER POLITICS?", Mimi nadhani wanasiasa walioko madarakani ndio wanafanya SIASA ZA MAJI TAKA(reje kauli ya Rastam Azizi wa CCM aliyoitoa wakati anajiuzulu ubunge - jimbo la Igunga)

VIPI STORY YA GAZETI KUCHANGANYA UKWELI NA UONGO?

Mimi naikiri huu ni mtazamo wako labda tu kwa sababu na wewe ni wale walioko upande ule mwingine unaoumiza wengine kwa kutumia mfumo wa utawala, kwa sababu;
  • Gazeti la Tanzania Daima chanzo cha habari hii liko kisheria na kila linapotoa habari yeyote ni lazima lijiridhishe kuwa imekidhi matakwa ya kihabari na kisheria pia.So mtu mwingine from no where kujitokeza na kuanza kusema ni uongo ni lazima atakuwa na hisia zake. Otherwise anyedhani kalishwa maneno au kasemewa uongo afuate taratibu za kisheria kupata haki yake!!
  • Na je,si kuna watu wamenukuliwa na kutajwa kwa majina kabisa wakitoa hizi shutuma na kwa hiyo wamerokodiwa na kwa maana hiyo wako tayari kuyatoa mahali popote pale na kuthibitisha na ina maana

Ni lazima tukubaliane kuwa mambo ndani ya serikali si shwari!!..Kuna kundi la viongozi waandamizi ndani ya CCM na serikali wana ushirika na baadhi ya maafisa wa jeshi la polisi kuleta sifa mbaya kwa serikali yoote, CCM yooote na JESHI LA POLISI LOOOOTE. Hawa ndio waratibu wa mambo yoote maovu yanayoendelea sasa na hawa ndio wanaoharibu amani ya nchi.Kutafuta tatizo nje ya hapo kwa mtazamo wangu ni kujilisha upepo tu!!
 
CHADEMA na vibaraka wenu mtatafuta kila njia ya kutaka kuwachafua watu ambayo ni wachapakazi na pia ni no nonsense katka siasa zenu za majitaka, uwongo na ulaghai lakini hamtaweza.

Endeleeni kujifurahisha na story zenu za kuchonga na kilaghai huku mkitumia sehemu yenu ya kitengo cha propaganga ambayo ni Tanzania Daima kuidanganya jamii.

Huku ni kutapatapa na kutafuta sympathy wakati kesi bado iko mahakamani.

Uongo na ulaghai wenu pelekeni mahakamani mkapate haki yenu na siyo kwenye ofisi za propaganda kama Tanzania Daima.

Tutaendelea na hatutachoka kuwafundisha jinsi ya kufanya siasa safi katika jamii kisheria na kisiasa.

Mkuu kuna ishu ya shkhe ponda humu jf sijakuona mkuu ukitoa mawazo au kule hakuna buku 7 ?
 
Kazi ipo kwa jeshi la polic kujitambua ktk utendaji wa kazi zao
 
Mwampamba wakati upo CDM uliona wanafaa sasa umetimuliwa ukajiunga CCM unaanza kujidai unaijua CDM, Wewe ni taahira kati ya Mataahira wengi waliopo CCM!
 
Tanzaia Daima limetimiza wajibu wake kuwahoji watuhumiwa nini kiliwatokea. Mtuhumiwa kafunguka kaelezea mkanda mzima jinsi alivyokamatwa na kuteswa na polisi na pia watu waliohusika na mpango huo. Mimi nadhani ni bora wote waliotajwa wajibu tuhuma kwasababu kama gazeti limetimiza wajibu wake na hata kuwapa nafasi ya kujibu tuhuma. Its a shame kufikiri habari hii ni ya uongo wakati tunajua watu walikamatwa na kuteswa na tunajua pia who is behind the movie. Ccm imewatumia sana vijana waliofukuzwa chadema ili kukiua chama mipango yote hii inajulikana nani ni mratibu so gazeti limeripoti tuu. Tujifunze kuheshimu habari za uchunguzi kuliko hizi za matukio ambazo kila mtu ameziona kama za kumwagiwa tindikali watalii zanzibar ndio habari watanzania wanazozipenda cos its a straight forward news rather than interogative news. Afande advocate Nyombi ni mtesaji sana kila mtu anamjua hata polisi wanamjua yeye anaamini katika utesaji kuliko intelligensia na mahojiano. Nyombi ni zaidi ya Zombe na huyo Pasua ndio anayefuata. Zombi nae alikua balaaa lakini yupo wapi?? Kupata ukweli wa matukio sio lazima utese sana. Well said Tanzania Daima

Nalipenda gazeti la TANZANIA DAIMA na nitaendelea kulipenda daima
 
NG'WAMAPALALA;
Binafsi ninachokiona deep inside your heart (kupitia andiko lako hili) baada ya kuisoma habari hii ni mshtuko (shock) na sasa unatafuta pa kushika. Nikuambie kitu mkuu?, Kila mtu mpenda haki, amani na usawa aki-refer matukio ya watu walioteseka gerezani kwa makosa ya UGAIDI na yanayodaiwa kuwa ni ya KUTENGENEZWA TU NA WATU FLANI KWA MASLAHI YAO BAINAFSI KISIASA na akiisoma hii story inayowahusisha viongozi wakubwa serikalini na katika jamii mpaka IKULU yenyewe ni LAZIMA atakuwa shocked!!..Mimi nilipoisoma mpaka nimechoka kabisa!!..Na hii maana yake ni kwamba kila mmoja atakuja kivyake kuutetea upande ulioguswa kulingana na maslahi yake;
  • Mfano, kwa upande wa ndugu,jamaa na marafiki wa hawa watu walioteswa na kubambikiwa kesi ya kosa hili la UGAIDI kwa upande mmoja na CHADEMA ambao hawa walikuwa ni wafuasi na viongozi wao kwa upande mwingine pamoja na wapenzi na wafuasi wao; kwao, defenately ni habari njema kwani wanajua sasa chanzo cha matatizo yao na kwa namna yeyote ni lazima wailaani serikali na vyombo vyake kwa sababu ndiyo inayosimamia sheria na taratibu katika nchi.....Hapa maana yake; DON'T EXPECT HONEST AND POSITIVE RESPONSE FROM THEM.......AND THEY ARE RIGHT!!
  • On the other hand, kwa upande wa pili yaani wale wanaohusishwa na tuhuma hizi serikali (i.e police, viongozi wa serikali...SOPHIA SIMBA NA IKULU na wafuasi wao walio ndani au nje ya system) ....Kwanza nao lazima watakuwa shocked na kujishangaa kwani jambo ulilokuwa unatenda ktk siri linapotoka nje ktk public lazima ushtuke na utafute namna ya kuji - defend NO MATTER ni la KWELI au UONGO!!

SASA HAPA;
WHO ARE NOT HONEST/DISHONEST? Je , ni hawa wanaobambikiza kesi za UGAIDI wapinzani na wakosoaji wa serikali na chama tawala au? Je, ni gazeti lililokuja na habari hii ya kufichua uovu( hata kama unatendwa na ofisa wa serikali kwa kisingizio cha kutimiza wajibu lakini kinyume cha sheria) unaotendwa na (baadhi) ya viongozi wa serikali na CCM kwa kushikikiana na (baadhi) ya maafisa wa jeshi la polisi ? Kwa nini umetumia personal pronoun "WE" badala "THEY"? Je wewe ni miongoni mwao?.......Me, mkuu, I am not among "THOSE" - "WE" kwa sababu sisi tunapinga kwa nguvu zote uonevu na ukiukwaji wa sheria iwe unafanywa na mtu, serikali au taasisi yeyote hasa JESHI LA POLISI!!

Gutter politics? Who are doing "GUTTER POLITICS?", Mimi nadhani wanasiasa walioko madarakani ndio wanafanya SIASA ZA MAJI TAKA(reje kauli ya Rastam Azizi wa CCM aliyoitoa wakati anajiuzulu ubunge - jimbo la Igunga)

VIPI STORY YA GAZETI KUCHANGANYA UKWELI NA UONGO?

Mimi naikiri huu ni mtazamo wako labda tu kwa sababu na wewe ni wale walioko upande ule mwingine unaoumiza wengine kwa kutumia mfumo wa utawala, kwa sababu;
  • Gazeti la Tanzania Daima chanzo cha habari hii liko kisheria na kila linapotoa habari yeyote ni lazima lijiridhishe kuwa imekidhi matakwa ya kihabari na kisheria pia.So mtu mwingine from no where kujitokeza na kuanza kusema ni uongo ni lazima atakuwa na hisia zake. Otherwise anyedhani kalishwa maneno au kasemewa uongo afuate taratibu za kisheria kupata haki yake!!
  • Na je,si kuna watu wamenukuliwa na kutajwa kwa majina kabisa wakitoa hizi shutuma na kwa hiyo wamerokodiwa na kwa maana hiyo wako tayari kuyatoa mahali popote pale na kuthibitisha na ina maana

Ni lazima tukubaliane kuwa mambo ndani ya serikali si shwari!!..Kuna kundi la viongozi waandamizi ndani ya CCM na serikali wana ushirika na baadhi ya maafisa wa jeshi la polisi kuleta sifa mbaya kwa serikali yoote, CCM yooote na JESHI LA POLISI LOOOOTE. Hawa ndio waratibu wa mambo yoote maovu yanayoendelea sasa na hawa ndio wanaoharibu amani ya nchi.Kutafuta tatizo nje ya hapo kwa mtazamo wangu ni kujilisha upepo tu!!

jibu swali dogo tu la kuanzia.kwa nini Tanzania daima hawakutaja jina la hoteli iliyotumika kutesa hawa watu? acheni acrobatics hapa
 
Wewe ni gamba tu na mshenzi fulani unayeishi kwa hand out ya 7000 per day hapo lumumba. Unastahili kuishi zizi moja na nguruwe ili ustaarabike.

Mkuu, huwa napata faraja pale mtu anapoanza kutukana kwa sababu nii huwa ni dalili ya kuishiwa hoja mbadala nani kujawa na fear and trepidation kinachopelekea kuanza kutumia siraha hafifu kabisa katika ujengaji wa hoja mbadala.

Kurusha matusi kwa binadamu usiyemfahamu ni sawa na kupiga ngumi ukutani kwa maana nyingine ni sawa na wale mbwa wanaobweka sana wakati wameficha mikia yao nyuma.

Jenga hoja ili ulinufaishe jukwaa la siasa kwa kulielimisha mambo mapya huku ukiwa unafahamu kuwa matusi tumetukanywa sana wakati tukiwa wadogo mpaka tukayazoea kwa sababu tuligundua hayamuumizi anayetukanywa bali anayetukana.

Kwa umri wako ndani ya JF ulitakiwa uwe ni mfano wa kuigwa na watu wenye hekima na busara katika kujenga hoja. Inaonekana mwenzangu hufahamu umri mkubwa JF ni baraka.

Huko unakoenda siko tunakoenda na kuna hatari ukajikuta peke yako kifungoni.
 
Wewe ni gamba tu na mshenzi fulani unayeishi kwa hand out ya 7000 per day hapo lumumba. Unastahili kuishi zizi moja na nguruwe ili ustaarabike.
The Invincible is now vincible by emotions and this a sign of immaturity.please give us the answer,why did Tanzania Daima not tell us the name of the hotel? this, to begin with...
 
Alisema kuwa itakufa 2013? Mbona vijana wa Bavicha mnapenda kuunga unga mambo?
Wassira atawapasua vichwa.
Unapopinga kitu lazima uje na solution ya unachokipinga ebu tuambie wewe alitamka itakufa lini?
 
"Nimeoteshwa na Mungu kuwa hii dawa kikombe kimoja itatibu magonjwa yote, na ameniambia nipokee mia tano tano tu"

Tofauti ya hii porojo na ile ya babu ni kuwa babu alitengeneza mamilioni na nyie chadomo mnatafuta huruma ya wanainchi.

Ingawa inahitaji uwe kilaza uliyekubuhu kuamini upuuzi kama huu.
 
Hivi huyu afande pasua ana cheo gani ndani ya police force? Au ndie wale watesaji wanaotegemewa na jeshi hili?

Huyu pasua atakuwa pasua kweli,kuhusiana na cheo atakuwa kakipata kwa ukatili wake tu,afisa aliyekwenda shule hawezi kutenda kwa ukatili kama wa askari wa makaburu.lakini nani anajua bwana pengine ameandaliwa nafasi ya Kamhanda?
 
Mkuu, huwa napata faraja pale mtu anapoanza kutukana kwa sababu nii huwa ni dalili ya kuishiwa hoja mbadala nani kujawa na fear and trepidation kinachopelekea kuanza kutumia siraha hafifu kabisa katika ujengaji wa hoja mbadala.

Kurusha matusi kwa binadamu usiyemfahamu ni sawa na kupiga ngumi ukutani kwa maana nyingine ni sawa na wale mbwa wanaobweka sana wakati wameficha mikia yao nyuma.

Jenga hoja ili ulinufaishe jukwaa la siasa kwa kulielimisha mambo mapya huku ukiwa unafahamu kuwa matusi tumetukanywa sana wakati tukiwa wadogo mpaka tukayazoea kwa sababu tuligundua hayamuumizi anayetukanywa bali anayetukana.

Kwa umri wako ndani ya JF ulitakiwa uwe ni mfano wa kuigwa na watu wenye hekima na busara katika kujenga hoja. Inaonekana mwenzangu hufahamu umri mkubwa JF ni baraka.

Huko unakoenda siko tunakoenda na kuna hatari ukajikuta peke yako kifungoni.
Kwa nini wewe tu ulalamike kutukanwa? Hujishtukii kuwa unafanya vitu vya ajabu?
 
Back
Top Bottom