Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Napatwa na wasiwasi mkubwa kwa akili za wafuasi wa chadema kila walishwalo wanakula banti na viroba si mchezo..mhariri tanzania daima km kweli gazet lako limeandika utumbo huu napatwa na wasiwasi huu ya utashi wako bt ni gazet la chama chenu cha wazee wakudanganya watu.hadith ya kitoto na kipuudhi kwamwenye akil timamu amepima vijana wenu wamedhiirisha ni wafupi wa akil wameanin hiyo habar na kuichangia seriously tena poor chadema low thinking capacity walio nayo watu wenu ndo maana wanaamin mkishika madaraka vitu vitashuka bei ndan ya miez 6.na vijana wote watapata ajira..wakomboz Feli na vilaza..
Mkuu .. Ya CDM waachie wenyewe.. na Ya CCM waachie wenyewe..
Leo kuna wafuasi wa UDP.. wanamuina Cheyo yuko sawa..
Kuna wanaomkubali Mtikila 100%.. Waache wafuate akili zao.. nawe fuata akili yako vile inakutuma na sio kukosoa mapenzi ya mwenzio..
 
Suala linaweza kuwa uongo lakini je, nani anafanya uharifu huu dhidi ya binadamu ambaye serikali haiwezi kumtaja/kumkamata. tunashawishika kukubalil serikali inahusika, matukio mangapi hayawana majibu?? intelenjesia ya polisi haipo tena maana wako divided, ni wazi ktk masuala ya immoral lazima binadamu wanakuwa divided, wapo wanaojaribu kushindwa kazi wengine wanafanya kazi uongo unakuwa dhahiri.
 
We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. It’s almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.

By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.

Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.

Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.

Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.

This is truly more than gutter politics.
Mkuu huu ni uchambuzi mahiri kabisa.hawa CHADEMA wasipoangaliwa watakoroga jamii mpaka tuchanganyikiwe.wanakusanya uongo na ukweli pamoja.kama haya yalitokea kweli,na wanasheria walishakuwa wakiwaona hawa watu,yasingesubiri watoke ndo haya yasemwe.siasa za uharo hizi.chadema watch out.wananchi siyo wajinga hivi
 
Hivi huyu afande pasua ana cheo gani ndani ya police force? Au ndie wale watesaji wanaotegemewa na jeshi hili?

Anakipaji maalum cha Kupasua tigo kwa kutumia fanta. Huyu ndio dawa ya wote wanaotaka kuvuruga amani nchini.
 
Mbona itikadi zina nguvu zaidi ya haki binadamu? EE MUNGU WA REHEMA WEKA WAZI WOTE WAVUNJIFU WA AMANI.
 
Napatwa na wasiwasi mkubwa kwa akili za wafuasi wa chadema kila walishwalo wanakula banti na viroba si mchezo..mhariri tanzania daima km kweli gazet lako limeandika utumbo huu napatwa na wasiwasi huu ya utashi wako bt ni gazet la chama chenu cha wazee wakudanganya watu.hadith ya kitoto na kipuudhi kwamwenye akil timamu amepima vijana wenu wamedhiirisha ni wafupi wa akil wameanin hiyo habar na kuichangia seriously tena poor chadema low thinking capacity walio nayo watu wenu ndo maana wanaamin mkishika madaraka vitu vitashuka bei ndan ya miez 6.na vijana wote watapata ajira..wakomboz Feli na vilaza..

Ndugu JIMU maelezo yako yanaweza kuwa mazuri kabisa kama utakuwa umewahi kutoa comments kama hizi kwa maelezo mbali mbali ambayo yamekuwa yakitolewa na polisi, CCM pamoja na serikali. Je comments zako kwa maelezo ya polisi na CMM kuhusu kifo cha marehemu Mwangosi yalikuwa yapi ndugu yangu JIMU. Nina uliza tu Mkuu. ni hayo tu
 
Tanzaia Daima limetimiza wajibu wake kuwahoji watuhumiwa nini kiliwatokea. Mtuhumiwa kafunguka kaelezea mkanda mzima jinsi alivyokamatwa na kuteswa na polisi na pia watu waliohusika na mpango huo. Mimi nadhani ni bora wote waliotajwa wajibu tuhuma kwasababu kama gazeti limetimiza wajibu wake na hata kuwapa nafasi ya kujibu tuhuma. Its a shame kufikiri habari hii ni ya uongo wakati tunajua watu walikamatwa na kuteswa na tunajua pia who is behind the movie. Ccm imewatumia sana vijana waliofukuzwa chadema ili kukiua chama mipango yote hii inajulikana nani ni mratibu so gazeti limeripoti tuu. Tujifunze kuheshimu habari za uchunguzi kuliko hizi za matukio ambazo kila mtu ameziona kama za kumwagiwa tindikali watalii zanzibar ndio habari watanzania wanazozipenda cos its a straight forward news rather than interogative news. Afande advocate Nyombi ni mtesaji sana kila mtu anamjua hata polisi wanamjua yeye anaamini katika utesaji kuliko intelligensia na mahojiano. Nyombi ni zaidi ya Zombe na huyo Pasua ndio anayefuata. Zombi nae alikua balaaa lakini yupo wapi?? Kupata ukweli wa matukio sio lazima utese sana. Well said Tanzania Daima
 
hizi tuhuma za ugaid zinapikwa ili ccm ije iingize kifungu kwenye katiba mpya kwamba kiongozi yeyote aliyehusihwa au kutuhumiwa na ugaid haruhusiwi kugombea madaraka ya wananchi....chadema kuweni makini sana ni mipango hii inasukwa.....

mkuu hilo linawezakana lakini tunaahukuru mahakama kutoa uamuzi na kuwapa somo hao majangili.
 
Chadema kuweni makini na huyo Shibuda huenda ni kibaraka wao!
 
mkuu huu ni uchambuzi mahiri kabisa.hawa chadema wasipoangaliwa watakoroga jamii mpaka tuchanganyikiwe.wanakusanya uongo na ukweli pamoja.kama haya yalitokea kweli,na wanasheria walishakuwa wakiwaona hawa watu,yasingesubiri watoke ndo haya yasemwe.siasa za uharo hizi.chadema watch out.wananchi siyo wajinga hivi

naona umeanza kuhara mwenyewe haiingii akilini kuamini ni story ya uongo na ninavyolijua jeshi letu halitakaa kimya kwani wanjua walilolifanya
 
Poleni sana ndugu zangu mlio teswa MUNGU yupo pamoja nanyi!
 
Napatwa na wasiwasi mkubwa kwa akili za wafuasi wa chadema kila walishwalo wanakula banti na viroba si mchezo..mhariri tanzania daima km kweli gazet lako limeandika utumbo huu napatwa na wasiwasi huu ya utashi wako bt ni gazet la chama chenu cha wazee wakudanganya watu.hadith ya kitoto na kipuudhi kwamwenye akil timamu amepima vijana wenu wamedhiirisha ni wafupi wa akil wameanin hiyo habar na kuichangia seriously tena poor chadema low thinking capacity walio nayo watu wenu ndo maana wanaamin mkishika madaraka vitu vitashuka bei ndan ya miez 6.na vijana wote watapata ajira..wakomboz Feli na vilaza..
Mkuu...ishu kama hizi usizijadili emotionally!Unajua ndharia ya 'cause and effect?'Haya uyaonayo leo ni matokeo ya propaganda zenu chafu za kubambikia watu kesi za ugaidi...kutesa na kuumiza watu...mkiyaacha haya mtaheshimika.
.
 
Adamu chagulani uhamisho wa mke wake alisaidiwa na shibuda na walikutana dodoma habari ya kuwa alikuwa dodoma ni za kweli lakini si kondoa. Kuna ukweli katika kuhusishwa kwake , adamu chagulani, mwampamba, shonza na mchange wote hawa ni wafuasi wa shibuda mpaka kifo.
 
Mkuu, binadamu ana macho mawili tu, sasa hilo la tatu atalipata wapi? unasema habari hii ni yauongo! sasa ukweli ni upi? na wewe ulishiriki vipi kuwahoji wahusika mpaka kufikia kuwaundia tuhuma feki za ugaidi? Kwanini umekuwa msemaji wa Shibuda wakati Shibuda mwenyewe alipewa fursa na mwandishi akaikataa!
Mkuu, hilo ni angalizo langu. Ukikubaliana nalo, sawa na usipokubaliana nalo napo ni sawa tu ili mradi tunabakia kwenye principle ya kukubali kutokubaliana.

Kusoma kwa macho matatu maana yake ni kusoma huku uki-reflect juu ya mdai, mdaiwa na wewe mwenyewe.

Binadamu tuko tofauti, inawezekana wewe umesoma habari na ukakubaliana nayo na haindoi wala kuongeza kilichoandikwa, vile vile na mimi nimeisoma habari sikukubaliana nayo kwa vile imetiwa uwongo mwingi lakini vile vile haiongezi wala kupunguza kilichoandikwa.
 
Back
Top Bottom