Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

huyu si tuliishamtambua, na tulianza kumuondoa chamani taratiiibu bila jasho, kwanza alikuwa akikaimu Nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, nafasi iliyokuwa inampa nafasi yakuingia kwenye Halamashauri kuu ya chama, na kwakua tuligundua ni domo kaya mwenye kutumika tukajiondolea kirusi kwenye nafasi hiyo.
Ubunge wake hatuna haja nao, lakini baada ya 2015 labda atakuwa mbunge kupitia ccm au atakuwa raia kwakua hatutampa nafasi .
SHIBUDA NI MSALITI, MTU ASIYEJIHESHIMU, DOMO KAYA ASIYECHOKA KUBWABWAJA....MCHUMIA TUMBO.

waambie na wenzako kuwa kama mnamtaka mchukueni kwenye chama chenu kizeee
Wewe na kina nani?, na yeye na kina nani?

CHADEMA kuna virusi vingapi ukiondoa Mh. Shibuda?.

Kwa nini vinaachwa bila kutolewa na vinaendelea kuwepo huku vikiambukiza wengine magonjwa ya kisiasa?

Chanzo cha kirusi ni nini na kwa nini vinapenda sana kuishi CHADEMA.
 
Wewe na kina nani?, na yeye na kina nani?

CHADEMA kuna virusi vingapi ukiondoa Mh. Shibuda?.

Kwa nini vinaachwa bila kutolewa na vinaendelea kuwepo huku vikiambukiza wengine magonjwa ya kisiasa?

Chanzo cha kirusi ni nini na kwa nini vinapenda sana kuishi CHADEMA.

virusi vimetumwa na mzalisha virusi wa chama chenu kizee,
MIMI na wenzangu chamani tunatabia ya kuchunguza kwa umakini juu tabia , mwenendo na uwajibikaji wa kila mmoja, TUMEJIRIDHISHA TAYARI kuwa Domokaya ni Kirusi, na tayari amekaa mkao wa kuondoka.
 
Wewe na kina nani?, na yeye na kina nani?

CHADEMA kuna virusi vingapi ukiondoa Mh. Shibuda?.

Kwa nini vinaachwa bila kutolewa na vinaendelea kuwepo huku vikiambukiza wengine magonjwa ya kisiasa?

Chanzo cha kirusi ni nini na kwa nini vinapenda sana kuishi CHADEMA.
Unaweza hata kuendelea kuuliza kuwa inakuwaje siri za ccm zikiletwa chadema,hapo mnasifu kuwa intelijensia yenu ni safi,ila zenu chadema zikienda upande ule mnasema ni usaliti??? na kama hiki ni chama kinachoambukizwa virusi si ina maana kinafanya ngono bila kondomu?
 
virusi vimetumwa na mzalisha virusi wa chama chenu kizee,
MIMI na wenzangu chamani tunatabia ya kuchunguza kwa umakini juu tabia , mwenendo na uwajibikaji wa kila mmoja, TUMEJIRIDHISHA TAYARI kuwa Domokaya ni Kirusi, na tayari amekaa mkao wa kuondoka.
Mkuu, Chama changu kizee ndicho kipi hicho?. Ninategemea isiwe ikawa ni yale yale ya Rais Bush kusema, 'You are either with us or against us'

Nimekuuliza maswali ya kawaida kabisa na nilitegemea majibu yako yawe ya kawaida kabisa ili tuweze kujenga mjadala mbadala kumchambua kwa hoja kama Mh. Shibuda ni kirusi. Badala ya kunipatia majibu unakimbilia kunitafutia chama cha siasa.

Sitashangaa kama hufahamu kuwa wenye chama ni wanachama na wala siyo wapenzi au washabiki.

Hopefully, unayo kadi ya uanachama wa chama cha CHADEMA ku-justify statement zako.

Nimalize kwa kusema, tukubali kutokubaliana kwa sababu mitazano na fikra tunatofautiana.
 
Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.

This is truly more than gutter politics.

Mkuu why make such a conclusion? You are better than what you have written though it is your right to write anything.

Kwenye red; this guy has never been in CHADEMA politics. CHADEMA have treated him like a stray .... and that is what he is.
 
Tanzania Daima mbona hamuandiki jinsi Boss wenu alivyomuua Chacha Wangwe!!!! naomba mnipigie simu ili niwasimulie jinsi ya Boss wenu alivyomuua Chacha wangwe.

Kama huo ushahidi unao kwa nini husipeleke kwa DPP Mwigulu kesi ifunguliwe?
 
Habari hii imeandikwa na TANZANIA DAIMA PEKEE AU KUNA MAGAZETI MENGINE WANAYO? KAMA NI TANZANIA DAIMA PEKEE, UONGO MTUPU HAIWEZEKANI FAMILIA IKAJISAILI YENYEWE.
Haijalishi imetajwa na magazeti mangapi ni wajibu wa kila gazeti kujishughulisha kupata habari hiyo ndio kazi iliyowafanya wasajiliwe KUHABALISHA.Usitumie nguvu nyingi kupinga utakuwa unajaribu kuzuia mafuliko kwa mikono,watu wametajwa kwa majina,sheria zipo wazi wakatae kuwa hawakuhusika kuwatesa na wawapeleke hawa vijana mahakamani kwa kuwachafua kinyume cha hayo hii habari ni KWELI,kama kweli waliwatesa watakaa kimya dhamira inawasuta na watakosa ujarisi.
 
Tanzania Daima mbona hamuandiki jinsi Boss wenu alivyomuua Chacha Wangwe!!!! naomba mnipigie simu ili niwasimulie jinsi ya Boss wenu alivyomuua Chacha wangwe.
kaka unatia aibu wanaume wenzako hawapo hivyo yani unafanya mambo ya umbea umbea kama mwanamke bwana acha hizo umeshakua mtu mzima ambaye baada ya mda familia itakutegemea acha hizo bro plz! utakuwa mgeni wa nani kwa apo badae? huwezi jua mipango ya mungu huyo slaa unayemtukana kuna siku atakuja kuwa mtu mkubwa ktk serikali hii, utaficha wapi uso wako kaka? hivi siasa za tz unazijua vizuri? acha hizo bro plz
 
Advera Senzo anaishi ndotoni kwamba kwa kutumia vitisho basi umma utasalimu amri; wote hawa wajue kuna siku watasimama kizimbani ICC
 
Huyu jamaa anahoji hotel kutumika kutesa watu?, vipi mabwepande?
[FONT=lucida
console]Siku yako itawadia tu ambapo utakiri kwa
kinywa chako mwenyewe mnavyofanya na DPP wenu. I guess you are on the
right path....time will tell.
[/FONT]
 
huyu afande pasua atakua na roho saba.
 
Mtela kumbe na huku upo,nilikubrock fb baada ya kuona huna jipya na ukawa kero kwangu, Kipnd uko cdm mbona hukuyasema hayo! angalia sana ulitapeli pesa za kujikimu za ualimu na kukimbia kituo cha kazi sumve, kumbe nia yako ilikuwa kuja kutumiwa na akina Mwingilu utaolewa,au umeahidiwa UDC?
 
Habari hii imeandikwa na TANZANIA DAIMA PEKEE AU KUNA MAGAZETI MENGINE WANAYO? KAMA NI TANZANIA DAIMA PEKEE, UONGO MTUPU HAIWEZEKANI FAMILIA IKAJISAILI YENYEWE.

Kwa jinsi habari yenyewe ilivyo sijui unadhani Gazeti gani zaidi ya Mawio linaweza andika?Pengine ukijiuliza hivyo ndipo unaweza balance habari yako.
 
Back
Top Bottom