Muarobaini
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 215
- 73
kuna link mmoja ya Return of undertaker aliitoa hapa jamvini mara tu mwigulu aliposema bungeni kuwa bomu la arusha chadema wamejilipua wao na ushahidi anao, katika link hiyo wahusika karibia watano waliokua katika mpango huo wapo pia katika habari hii tunapounganisha link ile na habari hii ukweli unakua asilimia 75 , hivi mbona ccm ina watu wengi mbona ni hao hao tu, Polisi ina askari wengi mbona ni hao hao tu na kwa nini waonewe wao tu ukijiuliza utajua kuwa ni kweli watu hawa ni kikundi maalum kwa ajili ya kufanya kazi fulani na kikao chao walicho kaa Dodoma kwa ajili ya kuangamiza CDM na badae inkuja kua yale yale hapa tunawakwepeshaje hawa au Return of Undertaker ni mfalme njozi na kama ni hvyo njozi zake zimekua ukweli basi tumpe kazi maalum maana anaweza kutuepushia makubwa