Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

sikuhizi hotel zinatumika kuhoji na kutesa watuhumiwa!!!!!

Mwandishi hilo Toilet paper anaitwa Isanga mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Singida na ananamba yangu ya simu ila hajanipigia!!!!!!

Mbona Mimi hawajanipigia simu!!!!!Toilet Paper na hadithi za sungura na fisi.

Mbona mimi sijapigiwa simu au kwa kuwa nayajua mengi!!!

Tanzania Daima mbona hamuandiki jinsi Boss wenu alivyomuua Chacha Wangwe!!!! naomba mnipigie simu ili niwasimulie jinsi ya Boss wenu alivyomuua Chacha wangwe.
Mr libido, unatamaani saaana "mtu"
stella namba yake ni 15-037358
 
Habari hii imeandikwa na TANZANIA DAIMA PEKEE AU KUNA MAGAZETI MENGINE WANAYO? KAMA NI TANZANIA DAIMA PEKEE, UONGO MTUPU HAIWEZEKANI FAMILIA IKAJISAILI YENYEWE.
Wingi wa magazeti kuandika habari hautoshi kuipa uhalali habari yenyewe... kimsingi wametajwa watu kwa majina yao na vyeo lakini mpaka sasa hawajajitokeza kukanusha na wewe unajua kimya ni jibu, unajua unapaswa kujifunza kitu kimoja tu umma wa watanzania leo hauyumbishwi kwa hoja nyepesi kama yako, fanya utafiti juu ya habari yenyewe utakubaliana nami kwamba watanzania walio wengi wanaamini/walielewa nini kupitia habari hiyo..

Uko wapi ujasiri wa serikali kuwakamata waliondika habari ya uongo ambayo kimsingi ni uchochezi kama ndivyo?
 
quote_icon.png
By Mtela Mwampamba
Mbona Mimi hawajanipigia simu!!!!!Toilet Paper na hadithi za sungura na fisi.

quote_icon.png
By Mtela Mwampamba
Mbona mimi sijapigiwa simu au kwa kuwa nayajua mengi!!!

quote_icon.png
By Mtela Mwampamba
Tanzania Daima mbona hamuandiki jinsi Boss wenu alivyomuua Chacha Wangwe!!!! naomba mnipigie simu ili niwasimulie jinsi ya Boss wenu alivyomuua Chacha wangwe
Watu wengine bwana yani utafikiri sijui kitu gani.. jifunze kitu kimoja, siku zote ukishakuwa huna thamani mahali fulani hata ushauri huwezi kuulizwa...
 
Dunia ina mambo kweli yaani Mtela Mwampamba anadhani yeye ni mwana siasa mashuhuri sana!

Alichoambulia katika ujinga wake ni DUKA alilojisifia EATV kwa Adrian Stepp!

Halafu baada ya kunyooshwa marinda na mjinga kama Mwigulu Nchemba anadhani ana umashuhuri na hela kuliko kina Mbowe!

Akili ya kuku!

Kunyooshwa Marinda ndio kufanyaje?
 
Last edited by a moderator:
Habari hii imeandikwa na TANZANIA DAIMA PEKEE AU KUNA MAGAZETI MENGINE WANAYO? KAMA NI TANZANIA DAIMA PEKEE, UONGO MTUPU HAIWEZEKANI FAMILIA IKAJISAILI YENYEWE.
Uhuru pia iliwahi kumnukuu BWM kuwa wapinzani ni kama kokoto hivyo wanastahili kupondwa! tatizo kubwa ni tafsiri ya mpinzani kwa mujibu wa CCM... Wale wote wenye kuitakia nchi hii mema huwa mnawaona kama wapinzani!!!..grrrrr
 
Napatwa na wasiwasi mkubwa kwa akili za wafuasi wa chadema kila walishwalo wanakula banti na viroba si mchezo..mhariri tanzania daima km kweli gazet lako limeandika utumbo huu napatwa na wasiwasi huu ya utashi wako bt ni gazet la chama chenu cha wazee wakudanganya watu.hadith ya kitoto na kipuudhi kwamwenye akil timamu amepima vijana wenu wamedhiirisha ni wafupi wa akil wameanin hiyo habar na kuichangia seriously tena poor chadema low thinking capacity walio nayo watu wenu ndo maana wanaamin mkishika madaraka vitu vitashuka bei ndan ya miez 6.na vijana wote watapata ajira..wakomboz Feli na vilaza..

Moderator vipi huyu jamaa, mpe ban ya nguvu, ametukana sana, anaita watu Vilaza, low thinking capacity, wafupi wa akili, hii ni nini?
 
Dunia ina mambo kweli yaani Mtela Mwampamba anadhani yeye ni mwana siasa mashuhuri sana!

Alichoambulia katika ujinga wake ni DUKA alilojisifia EATV kwa Adrian Stepp!

Halafu baada ya kunyooshwa marinda na mjinga kama Mwigulu Nchemba anadhani ana umashuhuri na hela kuliko kina Mbowe!

Akili ya kuku!

Mbowe ni multi talented business man, anatengeza hela hata akifanya vitu vya hobby, MCCM wanaiba hata pasipo na faida, wamefikia mahali pa kujiibia na kujidanganya.Maccm hata ktk kazi halali wanatumia hela bila kuingiza.

HUyo dogo kabla ya uchaguzi ujao atabadilishwa kuwa mbeba unga ili abaki mjini...hivi yule jamaa wanaomwita Marlow anaimba nyimbo gani tena?si aliwaimbia sana CCM ..soon naye tutamsikia km Ngwea.
 
Back
Top Bottom