Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Mimi ni mjenga hoja kama wewe unavyojenga hoja lakini tofauti yangu na wewe ni mimi kutotaka kufahamu kama wewe ni nani mpaka hudispute maelezo ya 'mhanga wa mateso hayo'.Aidha useme maelezo ya Rajabu ni uongo au kuna lingine unalitafuta. Wewe ni nani kudispute maelezo ya mhanga wa mateso hayo. Je wewe ni Shibuda? Nyombi au Pasua?
Fikra, hekima na busara zangu zinatoa angalizo kama maelezo ya Rajabu yana ukweli kidogo na pia uongo mwingi.
Kama hukubaliani na mimi haina tatizo kwa vile na mimi sikubaliani na wewe. Kwa maana nyingine, hoja ziko sawa.