RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Mbona Ugiriki inamiliki s-300 na hatujaona kelele kwa hao unao waita nato?Aache ku destabilize NATO, kwa kushirikiana na maadui wa NATO na kuwa provoke NATO members.
Hilo ndo kosa kubwa alishaonywa mara kadhaa lakini erdogan anajikuta kichwa ngumu, sasa vikwazo ndo vitampa akili, na akiendelea atachapwa.