Uturuki kununua ndege za F-16 za Dola Bilioni 23 kutoka Marekani

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,327
Marekani imeendelea kujiimarisha kama muuzaji mkubwa zaidi wa silaha duniani baada ya Biden kutoa ruhusa Uturuki kuuziwa ndege za F-16 za bilioni $23. Ugiriki nayo imepata kibali kununua ndege hizo za bilioni $8.

Uturuki ilipeleka order ya ndege hizo zinazoaminika ni mojawapo ya ndege bora za kijeshi duniani tangu mwaka 2021 lakini utawala wa Biden uliiwekea zuio baada ya kuzukua kwa vita vya Urusi na Ukraine na kufuatiwa na Uturuki kuweka mkwamo wa Sweden kujiunga NATO.

Marekani imeshuhudia mauzo yake ya silaha nje ya nchi yakiongezeka kwa kasi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita wakati mauzo ya washindani wake yakiporomoka huku mizozo na vita vikiongezeka duniani.

Kwa sasa soko la mauzo ya nje ya silaha duniani linatawaliwa na mataifa matano makubwa kama ifuatavyo kwa kiwango cha mauzo yao ya nje kidunia.

1. USA 40%
2. Russia 16%
3. Ufaransa 11%
4. China 5%
5. Ujerumani 4%
6. Italia 4%
7. Uingereza 3%
8. Hispania 3%
9. Korea Kusini 2%
10.Israel 2%
 
Marekani imeendelea kujiimarisha kama muuzaji mkubwa zaidi wa silaha duniani baada ya Biden kutoa ruhusa Uturuki kuuziwa ndege za F-16 za bilioni $23. Ugiriki nayo imepata kibali kununua ndege hizo za bilioni $8.

Uturuki ilipeleka order ya ndege hizo zinazoaminika ni mojawapo ya ndege bora za kijeshi duniani tangu mwaka 2021 lakini utawala wa Biden uliiwekea zuio baada ya kuzukua kwa vita vya Urusi na Ukraine na kufuatiwa na Uturuki kuweka mkwamo wa Sweden kujiunga NATO.

Marekani imeshuhudia mauzo yake ya silaha nje ya nchi yakiongezeka kwa kasi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita wakati mauzo ya washindani wake yakiporomoka huku mizozo na vita vikiongezeka duniani.

Kwa sasa soko la mauzo ya nje ya silaha duniani linatawaliwa na mataifa matano makubwa kama ifuatavyo kwa kiwango cha mauzo yao ya nje kidunia.

1. USA 40%
2. Russia 16%
3. Ufaransa 11%
4. China 5%
5. Ujerumani 4%
6. Italia 4%
7. Uingereza 3%
8. Hispania 3%
9. Korea Kusini 2%
10.Israel 2%[/QUOTEkuna ile midoli F35 hiyo inaanguka yenyewe kila siku na haijawahi kuingia vitani
 
Hauuziwi tu kuna terms and conditions nyingi sana
Wahuni huwa hawajali terms and conditions. Makampuni ya magharibi yamekuwa yakiuza spares na chip kwa ajili ya ndege na makobora ya urusi. Pamoja na vikwazo!
 
Sema Kuna wakati urusi anastahili maua yake., pamoja na kukabwa Koo na ukraine bado ameendelea kubaki kwenye nafasi yake kama muuzaji mkubwa namba 2 wa silaha!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hizo ni ten to twenty plans, sisi ambayo hatuna long term Plan ndo tunaweza kushack tukipigwa na vikwazo na natural disasters.
Unaweza kuta vita ya Ukraine imeikuta kila kitu kilishajamilika viwandani just delivery logistics.
 
Marekani imeendelea kujiimarisha kama muuzaji mkubwa zaidi wa silaha duniani baada ya Biden kutoa ruhusa Uturuki kuuziwa ndege za F-16 za bilioni $23. Ugiriki nayo imepata kibali kununua ndege hizo za bilioni $8.

Uturuki ilipeleka order ya ndege hizo zinazoaminika ni mojawapo ya ndege bora za kijeshi duniani tangu mwaka 2021 lakini utawala wa Biden uliiwekea zuio baada ya kuzukua kwa vita vya Urusi na Ukraine na kufuatiwa na Uturuki kuweka mkwamo wa Sweden kujiunga NATO.

Marekani imeshuhudia mauzo yake ya silaha nje ya nchi yakiongezeka kwa kasi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita wakati mauzo ya washindani wake yakiporomoka huku mizozo na vita vikiongezeka duniani.

Kwa sasa soko la mauzo ya nje ya silaha duniani linatawaliwa na mataifa matano makubwa kama ifuatavyo kwa kiwango cha mauzo yao ya nje kidunia.

1. USA 40%
2. Russia 16%
3. Ufaransa 11%
4. China 5%
5. Ujerumani 4%
6. Italia 4%
7. Uingereza 3%
8. Hispania 3%
9. Korea Kusini 2%
10.Israel 2%
Hizo sidhani kama Turkiye atazitumia vivyo hivyo.
Huwenda akazifanyia modification.
Ila pia ana ndege zake zinaitwa Caan fight jets.
 
Marekani imeendelea kujiimarisha kama muuzaji mkubwa zaidi wa silaha duniani baada ya Biden kutoa ruhusa Uturuki kuuziwa ndege za F-16 za bilioni $23. Ugiriki nayo imepata kibali kununua ndege hizo za bilioni $8.

Uturuki ilipeleka order ya ndege hizo zinazoaminika ni mojawapo ya ndege bora za kijeshi duniani tangu mwaka 2021 lakini utawala wa Biden uliiwekea zuio baada ya kuzukua kwa vita vya Urusi na Ukraine na kufuatiwa na Uturuki kuweka mkwamo wa Sweden kujiunga NATO.

Marekani imeshuhudia mauzo yake ya silaha nje ya nchi yakiongezeka kwa kasi katika kipindi cha miaka mitano iliyopita wakati mauzo ya washindani wake yakiporomoka huku mizozo na vita vikiongezeka duniani.

Kwa sasa soko la mauzo ya nje ya silaha duniani linatawaliwa na mataifa matano makubwa kama ifuatavyo kwa kiwango cha mauzo yao ya nje kidunia.

1. USA 40%
2. Russia 16%
3. Ufaransa 11%
4. China 5%
5. Ujerumani 4%
6. Italia 4%
7. Uingereza 3%
8. Hispania 3%
9. Korea Kusini 2%
10.Israel 2%
Hapo Mashariki ya kati, ukiondoa Wagalatia, hakuna tena hata mmoja??

Labda ungekuja na uzi unaotaja nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa Magaidi siyo?

Embu niashumu

1. Iraq
2.Iran
3.Palestine
4.Afghanistan
5.Pakistani
6.Yemen
........................................
 
Sema Kuna wakati urusi anastahili maua yake., pamoja na kukabwa Koo na ukraine bado ameendelea kubaki kwenye nafasi yake kama muuzaji mkubwa namba 2 wa silaha!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hiyo ni vita moja tu tena kwa wakati mmoja na nchi ambayo ni pua na mdomo, asubuhi watu wanapigana jioni wanarudi kunywa vodka Belgorod au Moscow.
 
Back
Top Bottom