mtambobajeti
Member
- Jun 22, 2008
- 5
- 0
Huu ufisadi sasa unafikia pabaya.
Yaani hao wanaoitwa wa usalama wanafuata nini huko kwa kubenea?Mbona hawajampekua EPA hata mmoja?
Huyu Lowassanae alishalaaniwa tangu zamani hana staha ya kuwa kiongozi.kila mahali anataka kula tu eti anajiandaa kuwa rais.Kweli anaweza kuongoza nchi hii?
Siku inakuja na ukweli huwa always unasimama.
Tutajua makapi ni yapi,pumba ni zipi nk
Yaani hao wanaoitwa wa usalama wanafuata nini huko kwa kubenea?Mbona hawajampekua EPA hata mmoja?
Huyu Lowassanae alishalaaniwa tangu zamani hana staha ya kuwa kiongozi.kila mahali anataka kula tu eti anajiandaa kuwa rais.Kweli anaweza kuongoza nchi hii?
Siku inakuja na ukweli huwa always unasimama.
Tutajua makapi ni yapi,pumba ni zipi nk