Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Naamini kuwa jana wakati Lowassa alipokuwa anatoa agizo hili alikuwa hajashauriana na wanasheria wake , kwani mkataba umesainiwa na hata mimi nimeuona na tayari mkandarasi yupo site sasa atasema je kuwa hakuna mkataba?

Mkataba una sahihi yake yeye Lowassa na Amos Makala.

Kabla ya kusema sana kama kweli umeuona huo mkataba kwanza niambie toauti kati ya Contract na MoU.then niambie ni feature gani ulioiona kwenye what you so called mkataba ambayo inaonyesha kuwa ni mkataba na siyo MoU.baada ya hapo tunaweza kuendelea kuurgue
 
Hivi ni nani vile... alituma watu kwenda kumshambulia kubenea na yule mzee wakawajeruhi hadi wakapelekwa india kutibiwa?! Nimesahau vile.....!

Fisadi Mtoto naomba unikumbushe mkuu, nimesahau vile....!
 
Hivi ni nani vile... alituma watu kwenda kumshambulia kubenea na yule mzee wakawajeruhi hadi wakapelekwa india kutibiwa?! Nimesahau vile.....!

Fisadi Mtoto naomba unikumbushe mkuu, nimesahau vile....!

mmmmmh!!!!!!!!!!kunguru mweupe nawe..................
 
Kabla ya kusema sana kama kweli umeuona huo mkataba kwanza niambie toauti kati ya Contract na MoU.then niambie ni feature gani ulioiona kwenye what you so called mkataba ambayo inaonyesha kuwa ni mkataba na siyo MoU.baada ya hapo tunaweza kuendelea kuurgue

Hii ni JF unafikiri mkataba haupo eeh, subiri kidogo litawekwa bandiko lenye page tano hapa, na masahihi ya hao jamaa niliowataja hapo juu, kuwa Mkataba una sahihi ya Lowassa na Amos Makala.

Pia jua kuwa JF ni jungu kuu,

MOU haiwezi kutumika kumfanya kandarasi awekeze 6 bilion site, na hii ni taarifa iliyojadiliwa kwenye kikao mojawapo , sasa na hii hoji nimeitoa wapi.
 
ana upeo mdogo sana hafai kwa nafasi hiyo hata chembe
 
Riz like his father like his son and vice versa.Na ukikumbuka msomo mmoja wa kiswahili.kama ukitaka kumjua mtu vizuri angalia marafiki zake.Ama baada ya kusema hivyo basi hata rafiki zake na Riz hawatufai..
 
Huu mwaka Lowassa hatausahau,ni mwaka ambo atafunuliwa na kujulikana yeye ni nani.mie nataka ajibu tu alitoa wapi utajiri aliona?na kwanini aliruhusu Tuingie katika mkataba wa RDC na mingine ambayo hatuijui
 
atakuwa na vyeo vingapi huku duniani? jamani mliokaribu naye mwambieni tamaa nyingi mbele giza?
 
hivi Ni Nani Vile... Alituma Watu Kwenda Kumshambulia Kubenea Na Yule Mzee Wakawajeruhi Hadi Wakapelekwa India Kutibiwa?! Nimesahau Vile.....!

Fisadi Mtoto Naomba Unikumbushe Mkuu, Nimesahau Vile....!
Ok Ni Yule Mfanyakazi Wa Bakheresa Ambaye Kubenea Alikuwa Akimchukulia Mkewe.
 
Hii ni JF unafikiri mkataba haupo eeh, subiri kidogo litawekwa bandiko lenye page tano hapa, na masahihi ya hao jamaa niliowataja hapo juu, kuwa Mkataba una sahihi ya Lowassa na Amos Makala.

Pia jua kuwa JF ni jungu kuu,

MOU haiwezi kutumika kumfanya kandarasi awekeze 6 bilion site, na hii ni taarifa iliyojadiliwa kwenye kikao mojawapo , sasa na hii hoji nimeitoa wapi.

Nadhani bado huelewi unachosema hapa...mimi nimesema tofauti yake na kama hujui ata ikiweka hapa utajuaje kama ni MoU au mkataba?Nani aliekwambia mwekezaji kaweka bil 6 ktk msingi ambao bado haujaisha?wakati jengo lenyewe lina thamani ya shs bilion 7,una maana ujenzi umekamilika kwa asilimia 90?
 
Nadhani bado huelewi unachosema hapa...mimi nimesema tofauti yake na kama hujui ata ikiweka hapa utajuaje kama ni MoU au mkataba?Nani aliekwambia mwekezaji kaweka bil 6 ktk msingi ambao bado haujaisha?wakati jengo lenyewe lina thamani ya shs bilion 7,una maana ujenzi umekamilika kwa asilimia 90?

Hapo juu hakuna kitu chochote ulichoandika.
Na kama unataka kujibiwa kwa hoja...Basi rudia swali lako.
 
Nadhani bado huelewi unachosema hapa...mimi nimesema tofauti yake na kama hujui ata ikiweka hapa utajuaje kama ni MoU au mkataba?Nani aliekwambia mwekezaji kaweka bil 6 ktk msingi ambao bado haujaisha?wakati jengo lenyewe lina thamani ya shs bilion 7,una maana ujenzi umekamilika kwa asilimia 90?

Nakwambia hivi mradi umetengewa bajeti ya bilioni 12, hizo saba ni za kwako.

Taarifa ya Patel umeisoma wewe?ama unadhani watu hawana taarifa za kina.
 
Fisadi Mtoto tatizop lako hujui unayejibizana naye ana taarifa na tena za kina juu ya mkataba husika na taarifa za kikao, inawezekana hata hujui mradi umetengewa kiasi gani, sasa nakwambia mkataba uliosainiwa ambao umemfanya mwekezaji kuanza kazi site una dhamani ya shilingi 12 bilion.
 
Wanabodi,
Kwanza kabisa nitasema hakuna sheria yoyote inayozuia vyombo vya habari kutoa Account za watu iwe amount ama namba zake dunia nzima ikiwa kuna ukweli wa kuwepo hizo account.
Kama kuna uvujaji wa habari hizi toka Benki inayohusika basi ndiko kunakotakiwa kuelekezwa mashtaka ama upelelezi..
Hadi sasa hivi nachoona ni Ubabe wa viongozi wetu lakini kisheria sioni kabisa sababu ya kulishtaki gazeti ati kwa kutoa account za watu as if hayo magazeti ndio wanaomiliki hizo account..
Mkataba wa siri za account upo kati ya mwenye account na benki, Mwanahalisi anaweza kuwa shahidi kuonyesha kwamba siri hiyo imevunjwa..
Sasa ndugu yangu MKANDARA mimi naweza kukubaliana na wewe kwamba hakuna sheria inayozuia vyombo vya habari kutoa taarifa za account za watu.
Na kwamba wanaopaswa kufunguliwa mashitaka ni watu wa benk lakini wapelelezi watanzia wapi ili kupata taarifa sahihi za mtuhumiwa? Kwa maana hiyo yule ambaye amekutwa na taarifa hizo au yule ambaye ametoa taarifa ndiye anayepaswa kuhojiwa mwanzo kabisa.
Ili aeleze taarifa hizo amezipata wapi tuwe wakweli ndugu zangu tusizungumzie ushabiki `WASWAHILI HUSEMA NDUGUYO MSAIDIE FAINI NA SIYO KESI`mimi nadhani anayekutwa na mzigo wa wizi ndiye mwizi.
 
Nafikiri Polisi walikuwa wanatafuta huu mkataba kwa kubenea na sio akaunt sasa ndio naanza kuona mwanga kwa unakuja.
Duh!
 
Ok Ni Yule Mfanyakazi Wa Bakheresa Ambaye Kubenea Alikuwa Akimchukulia Mkewe.

Wewe Fisadi Mtoto kweli hamnazo...Yani unataka ku imply kuwa matatizo yote ya Kubenea ni kwasababu ya huyo mfanyakazi nyapara wa Bakhresa?
Kweli wewe ni kijifisadi kitoto bado.
 
Ili mtu apatikane na hatia ni lazima kuwe na ushahidi

Ndugu yangu Ipole, ni nani ambaye anatakiwa kupeleka ushahidi? Polisi ndiyo ambao wanaongoza kwa kuficha ushahidi ama kuvuruga ushahidi na hasa kama mhusika wa kesi ni kigogo kama ilivyo kwa vigogo wa EPA ambao mpaka leo hii haijulikani hatima yao ni nini.

Fikiria Waziri Mkuu anasema watuhumiwa wa EPA ni watu wazito sana na hivyo serikali inabidi iende taratibu (hapo ina maana ni kuwabembeleza na ndicho Kamati ya Mwanyika imekuwa ikifanya eti wanaongea nao ili warudishe fedha). Hivi kweli unaweza kukaa kujadiliana na mwizi kwamba arudishe kwanza hela?

IGP Mwema kwa maneno yake alitamka wazi kwamba nchi hii imetekwa na mafisadi. Kauli kama hiyo ilihitaji IGP ahojiwe alikuwa anamaanisha nini wakati yeye ndiyo yuko responsible kuhakikisha kwamba sheria za nchi hazivunjwi? Kauli hiyo ilikuwa na maana nzito sana kwamba kuna vikwazo vingi ambavyo polisi wanakumbana navyo katika kutekeleza wajibu wao, to be specific ni kwamba kila kona wanakutana na kigingi cha fisadi ambalo linalindwa na ofisi kubwa na hivyo mafisadi hayagusiki.

Je, baada ya kauli ya Mwakyembe bungeni umemsikia mbunge yeyote akitetea ama kusafisha waliotuhumiwa na skendo ya Richmond? Hiyo ilikuwa message clear kwamba kuna mengi nyuma ya pazia na kama wangeanza kujadili upya mtu asingeishia kujiuzulu tu may be hata uanachama wake ungetenguliwa.

PCCB walichunguza kesi ya Mahalu ambayo sasa iko mahakamani, kipindi kile kile wakachunguza skendo ya Richmond wakasema hakuna kesi na deal lilikuwa safi kabisa. Bunge lilipokuja kupata matokeo tofauti wakaja kusema kwamba sheria ya PCCB iliyotumika kuchunguza Richmond ilikuwa butu, lakini sheria hiyo hiyo ilikuwa kali kwenye kuchunguza kesi ya Prof. Mahalu. Unapata picha gani ukilinganisha hayo matukio mawili?

Kwa hiyo swala la kudai ushahidi wakati Polisi, UWT na PCCB wamewekwa mikononi mwa mafisadi ni kazi ngumu sana. Polisi, UWT na PCCB ndiyo watu ambao responsible kusaka ushahidi once wanapopewa tuhuma. Sasa kama na wao wamefika mahali wamekubali kwamba nchi imetekwa na mafisadi, unategemea upate wapi ushahidi wa ufisadi? Kwa kifupi ni kwamba serikali yetu ni ya mafisadi na hivyo yanalindana, period!
 
Back
Top Bottom