TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,586
- 18,736
kaka wembemkali unamjua vizuri mkwere xxxxx jamaa hapendi kunyooshewa kidole xxxx mara nyingi hupenda lawama ziwaendee wengine lakini sio yeye xxxxx nakumbuka alivyoonyeshwa ripoti ya mwakyembe,alitoa go ahead,lakini baadaye alijifanya kuwa nae alisikia ripoti ile siku iliposomwa bungeni xxxxx tatizo la mkwere pamoja na urais wake,lakini wapo wengi anaowaheshimu na kuwaogopa xxxxxxx kwa kuwa issue hii ya nape inamuhusisha lowassa, nawahakikishieni hakutokuwa na jipya......
mzee asante kwa kuwa muwazi... Our tanzania family ni kama ile ya baba asiyesema lolote kwa watoto wake ili wampende akiashau kwamba mama anapata tabu kulea peke yake
anyway, miracles happen and this may be the first one in our historic country and jk needs to write his name in our country history... So far we only have nyerere after independency