Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Baadhi ya Yaliyojiri kwenye kikao cha CC, according to the dataz:-

1. Mkataba wa Jengo:-

- Kamati kuu imeuona mkataba kuwa na kasoro zipatazo saba, na kwa mujibu wa katiba ya CCM, imeunda kamati ya wajumbe watatu; Dr. Abdallah Kigoda, Chenge, na Pindi Chana, kuupitia mkataba huo yena na kuyarekebisha matatizo hayo saba,

- Baada ya kumaliza marekebbisho waupeleke kwanza Umoja wa Vijana, kwa mapendekezo na kama mujibu wa katiba urudishwe tena kamati kwa majadiliano zaidi kabla ya kuidhinishwa upya.

Sasa naona kuna a lot of spin kwamba mafisadi wameshinda, well kwangu hapa sioni kushinda, kwa sababu mkataba ulioshinda hauwezi kutengenezewa kamati za kuupitia upya na kurekebishwa upya na kutakiwa urudishwe ili ujadiliwe tena na kupitishwa upya, lakini ni haki ya kila mwananchi kuamua exactly uamuzi wa CC ulikuwa ni nini, ingawa naona mafisadi leo wamefanya kazi kubwa ya kujaribu kuficha ukweli wa kikao lakini ninaousema ndio ukweli hasa na sio filimbi za the losers!

2. Hoja ya Nape:-

- Asubuhi Rais alisema wazi mbele ya wajumbe wote waliohudhuria kuwa uamuzi wa baraza la UV-CCM dhidi ya Nape, yeye binafsi haamini kuwa ni uamuzi wa Vijana wote wa UV-CCM, anaamini kuwa ni wa viongozi wachache sana wasiowakilisha vijana wote.

-Rais amesema kwamba uamuzi mzima ni ujinga tena wa hali ya juu sana, na kwa kauli moja kamati kuu imeyakataa mapendekezo hayo ya UV-CCM ya kufukuzwa kwa Nape au kuvuliwa uanachama wa UV-CCM na CCM kwa ujumla,

-However, Rais akasema kwamba CCM inaongozwa na katiba na yeye hayuko juu ya katiba, akasema kuwa katiba ya CCM inamtaka Nape akate rufaa kwa CCM taifa na rais ametamka wazi kuwa Nape anayo baraka yake kwenye kukata huko rufaaa.

- Rais akaongeza kuwa maneno ya Mkamba kwamba Nape hawezi kukata rufaa mahali popote ni ujinga tena wa hali ya juu, na kwamba "...maneno ya Makamba ndani ya CCM sio final authority..." alisema Rais ndani ya CC kwa hasira sana.

Again, naona kumekuwa na spin nyingi sana kwenye hili kwamba Nape ameuliwa kisiasa, no way! Nape bado ni mjumbe wa NEC, ni mwanachama wa CCM, lakini mpaka rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi hatoweza kushirki kwenye shughuli za Vijana, ingawa bado ataendelea kuwawakilisha kwenye NEC sasa does this sounds like mtu aliyeuliwa kisiasa na Nchimbi?
ni uamuzi wa msomaji na kuuchambua mchele na pumba zilipo!

3. Hoja ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga:-

- Mafisadi walikuwa wametayarisha idea ka kutaka kumkata nguvu Sitta kama walivyopania kumuondoa kwenye nafasi hiyo, kwa hiyo walimtuma mwenyekiti wa CCM Shinyanga kuanzisha hoja kwenye kiako hiki cha CC.

- Mwenyekiti huyo alismama na kudai kuwa ni lazima Sitta awajibishwe kwa kukosa nidhamu kwa serikali na CCM, kwani anahusika sana na kumkashifu rais na pia kuharibu kwa makusudi maamuzi mengi ya CCM bungeni, nia na madhumuni ilikuwa aanzishe hoja halafu wajumbe wengine waliokuwa wametayarishwa na mafisadi wairukie hoja na kumkandamiza Sitta, ili aadhibiwe!

- Kabla hajamaliza Sitta kwa hasira alisimama na kumtaka akae chini mara moja kwa sababu ni mpumbavu, "...wewe mjumbe wa Shinyanga lazima uwe na heshima na hiki kikako kizito cha taifa..." "...huwezi kuja hapa kuelta ujinga uijnga sisi tunaokosoa CCM tunaitakia mema na tunajaribu kujiweka sawa na hali halisi kwa kutetea masilahi ya wananchi sio viongozi wachache wasio na aibu wanajaribu kukiangusha chama kwa sababu ya ubinafsi..." alisema Sitta kuwa mawazo yenu ya kifisadi yamepitwa na wakati na wote huko ni wapumbavu, mje na hoja hapa sio kuleta ujinga na upumbavu!

- Holly cow! wajumbe wote kwenye kikao wali-freeze mafisadi wote wakanywea kimyaaa! Hatimaye kwa unyonge sana Fisadi Mama Anna Abdallah, akasimama na kusema kuwa hoja ya Mwenyekiti wa Shinyanga, ilikuwa ni finyu na haina mantiki, lakini akamuomba Spika apunguze jazba na pia afute kauli ya kuita wajumbe wengine wapumbavu kwamba hiyo lugha ilikuwa kali mno kwa kikao kama kile kizito cha taifa.

- Spika Sitta, akakubali kwa unyenyekevu, na kufuta kauli ya neno "wapumabavu" na "ujinga ujinga" lakini ukawa ndio mwisho wa hoja ya mafisadi.

Haya ndio niliyoyapata so far kutoka huko ndani, na kuthibitishwa na wajumbe wengi waliohudhuria kikao, kwangu binafsi nimeridhika tena sana kwa sababu this is better than ile hotuba ya rais bungeni, I mean ni better mara 100. Cha muhimu sasa ni kwa Nape kukata rufaa kama katiba invyosema, uenyekiti wa UV-CCM hilo hata yeye mwenyewe anaelewa kuwa ni out of the question na sidhani kama ana nguvu ya kutosha na hiyo nafasi, lakini the goal has been met na binafsi ninampa heshima zangu za juu na Salute! kwa kuweza kuli-freeze taifa kwa kupata a political attention akiwa ndani ya CCM, na pia ningemshauri kuwa sasa ni kuangalia mbele tu nyuma mwiko!

Mafisadi wanajua wazi kuwa lengo lao lilikuwa Nape kufukuzwa kabisa CCM, wameshindwa wala sio siri ndio maana leo wamejaribu kununua magazeti akribu yote ili kuficha ukweli wa kikao na maneno ya ujanja na wapambe wao masikini ya Mungu angalau kuna wanaowalipa, lakini wengine huwa ni kufanya kazi bure tu kwa mafisadi nawaona humu maneno mengi ya uongo mtupu, ndio maana tulingiaa hapa JF mapema, maana tulijua kua magazeti yote yalishanunuliwa ndio maana tukaja hapa kuweka ukweli straight!, Mafisadi hawawezi kutushinda wananchi wengi na wenye uchungu na taifa letu, kwa sababu ukweli tunao na tutaendeela kuwakosesha usingizi mpaka kieleweke, na tuko wengi sana kuliko wao!

Mungu Aibariki Tanzania na Bravo Nape!
 
Jk kachomoa checkmate ya Lowassa kwa urahisi na hapo nampa pongezi.

Nape had no chance kwenye UVccm uenyekiti na yeye mwenyewe anajua ndio maana alitumia turufu ya ufisadi ili kuwapiga bao kina Lowassa na kina Lowassa wamejibu ingawaje wamekosea sana kwa kumpa Nape umaarufu wa bure na usio na sababu na kumdhoofisha Katibu Mkuu kupita kiasi kwenye macho ya wananchi kwa kuvalia njuga suala dogo sana.

Hapa bao ni 0-0, ingawaje Mafisadi wanakosea sana kwa kupigana vita visio vya lazima, kwa hiyo ukifika wakati wa vita vya lazima technique zao zinakuwa wazi.
 
Masikini ya Mungu, what a right way of professional reporting, sikujua kuwa JF tuna pro reporters, may be tunaweza kujfunza kwa this kind of reporting hapa chini, thank God kwamba I am not a good reporter kama hapa chini:-


And I quote:-

1. Chochote alichosomea huko muhimbili na kwingine hakikuwa upasua moyo. Yeye mwenyewe anasema kwenye website yake kwamba kajifunza upasua moyo Marekani. Tatizo ni kwamba waliomfundisha Marekani wanasema huwezi kujifunza upasua moyo kwa kutazama tu.

2. Upasua moyo huwa ni residency ya miaka minne. Unapasua mioyo ya watu kwa miaka minne mafunzoni. Dk. Masau hakuwahi kugusa mgonjwa mafunzoni. Yani mafunzo yake hayakubaliki huko katika nchi aliyosomea.

3. Sasa kama hafai kupasua moyo wa watu wa huko alikosomea sisi ndio kuku wa yeye kujifunzia ?

4. Kuhusu success rate yake, data niliyoipata ni ya zamani. Alikuwa ana success rate ya 62% mwaka 2003. Na hiyo ni data aliyoitoa mwenyewe. Inaweza ikawa chini ya hapo, kwenye hamsini na.

5. Yani kwa wastani alikuwa akigusa wagonjwa wawili mmoja lazima afe!
 
Halafu kuna wenzetu hapa walizidhihaki juhudi za Nape za kupambana na ufisadi kwamba ni PR na Gimmicks! Sasa mkataba umeonekana ni bomu, kama siyo Nape kusimama kidete kuupinga mkataba huo leo hii mafisadi wangekuwa wanakenua.

Hongera sana Nape, Watanzania wengi ndani ya CCM, Vyama vya Upinzani na hata tusiokuwa na vyama tunakuunga mkono kwa juhudi zako. Una future nzuri sana kwenye siasa kama ukiendelea kuwa mkweli na siku zote kusimama kutetea haki na kuupinga ufisadi. Mzee wako (RIP) huko aliko ana tabasamu kubwa sana kutokana na uliyoyafanya.
 
lease help us to read your lips.shule zilijengwa au hapana??
NCHIMBI,J Re: Licha ya mizengwe Nape Nauye ashangiliwa kwa vifijo Bungeni!
nami nangojea kijua kama lithibitisha ni kweli au bado maana jibu bado halijatoka mpaka sasa kujua yupi alikuwa mkweli kwenye hili.


Sawa sawa mkuu nimekusikia sana, sasa basi ngoja tuanze na ukweli wa shule ya mkuu, halafu tutaangalia hizo shule zilizojengwa na huyu kilaza wako:-


1. View Full Version : Commonwealth Open University

homeless4ever12-20-2007, 08:52 AM
hiiii

is there is any body know any thing about this university
Commonwealth Open University
is't accredited or not ..

2. Homeless4ever-Dubai

Baraban12-20-2007, 04:49 PM
Last time I read about this school it was unrecognized with low academic value. Some regard it as Mill.
In Us in Oregon and couple of other states their degrees are illegal.

Go to Open University UK they are respected established open university.

3. Ahmed12-20-2007, 05:15 PM

Hi This University definately with out a doubt is a mill,(as I have always stated that not all unaacredited schools are mills, although most are,there are some unaacredited schools that are really good, and do not fall under the mill banner).

For your info here is a clipping from the Star newspaper (South African daily newspaper).: There's nothing open about this university


Some are practising with their degrees from Mensana and Commonwealth Open They were promised an international degree and after years of hard work were left with nothing to show for it.

The Commonwealth Open University advertised internationally accredited degrees to South African students. But a month ago an article appeared in Rapport newspaper exposing Mensana college for admitting students on short courses that were not accredited with any South African institution.

Concerned, some students of Commonwealth Open University contacted The Star, claiming they studied for degrees through Mensana. "My heart stopped when I saw that report," said one student. "I thought after all my years of hard work my (PhD) thesis might be worth nothing." After paying R20 000 (+/-$2900), she said all she had to do was bind her thesis and hand it in for marking.

"I called Liezel Herholdt to ask what was happening after the report, but she told me it just involved the certificate courses and I won't be affected because mine is a degree. Professor Marius Herholdt (her adviser) told me over the phone that he applied for accreditation with SAQA (South African Qualifications Authority) and the CHE (Council for Higher Education) in 2006 but was just waiting for it to come through."

The CHE told The Star that they had received many complaints about the two institutions - neither of which was accredited with them. The Department of Education confirmed it had written Mensana a letter after discovering they were not accredited as a higher institution in South Africa. It received a reply from Mensana saying it Mensana not offering higher education courses.

SAQA said that they first find out whether international institutions are recognised in their own countries before giving them accreditation in SA.
"Commonwealth Open University operates out of the Virgin Islands and it is not recognised by their own body in the UK," said Joe Samuels, the deputy executive officer at SAQA. The university is listed on website Wikipedia's list of unaccredited institutions of higher learning, which warns potential students that their degrees are also not accepted in the US.

"I studied with Mensana," said a former student who did not want to be named as she is operating as a medical practitioner with her degree. "The standards were terrible. Sometimes we came to class and nothing was prepared. There were lots of things that weren't kosher and every time we queried what was happening we were told a different story."

When The Star called Marius Herholdt, he denied having anything at present to do with the university. "I'm no longer involved," he said. "SAQA wants all these overseas universities to register with them so we terminated our contract. This happened at the end of 2005, but there were still a number of students in the system that we had to finish up with. We are not enrolling any new students. Mensana is only a campus. We are open to any organisation who wants to lecture there."

The Star, however, has in its possession a degree issued by Commonwealth Open University signed by Herholdt. Mensana spokesperson Gary Prince said they were being mixed up with Commonwealth Open University and were in fact called the Commonwealth Closed Corporation. "The activities of Mensana have nothing to do with that of Commonwealth Training cc. We apply a service to people who want us to facilitate their studies through any other institution."

By Angelique Serrao The Star 11/04/07.

So I would suggest you stay away from Commonwealth Open University
 
Halafu kuna wenzetu hapa walizidhihaki juhudi za Nape za kupambana na ufisadi kwamba ni PR na Gimmicks! Sasa mkataba umeonekana ni bomu, kama siyo Nape kusimama kidete kuupinga mkataba huo leo hii mafisadi wangekuwa wanakenua.

Hongera sana Nape, Watanzania wengi ndani ya CCM, Vyama vya Upinzani na hata tusiokuwa na vyama tunakuunga mkono kwa juhudi zako. Una future nzuri sana kwenye siasa kama ukiendelea kuwa mkweli na siku zote kusimama kutetea haki na kuupinga ufisadi. Mzee wako (RIP) huko aliko ana tabasamu kubwa sana kutokana na uliyoyafanya.

Mkuu Bubu,

Pamoja na kwamba hatukubaliani na ishus nyingi sana, lakini hii tupo ukurasa mmoja, yaani one big step kwenye kuwapiga mafisadi, leo ni siku mbaya sana kwao,

kwa sababu Nape asingeweza kupitishwa kugombea UV-CCM as long as Nchimbi ni mwenyekiti huko, hilo halikuwa siri kuwa lilikuwa ni a dead end, lakini look whta the kid did kwa manufaa ya sisi wananchi na taifa kwa ujumla.

Bravo Bubu kwa kuliona hilo na tena kuliweka wazi hapa.
 
Hata identical twins hawakubaliani kila kitu itakuwa sisi! 🙂 Ndiyo uzuri wa JF kuna freedom of speech watu hata kama hamkubaliani katika mijadala lakini bado mnafanya hivyo kwa kuheshimiana na bila kutumia lugha chafu au zenye matusi ya nguoni. WanaJF wote tungekuwa tunakubaliana kila kitu basi hapa pangeboa na wengine tungeshaingia mitini 🙂

Ahsante Mkuu
 
Masikini ya Mungu, what a right way of professional reporting, sikujua kuwa JF tuna pro reporters, may be tunaweza kujfunza kwa this kind of reporting hapa chini, thank God kwamba I am not a good reporter kama hapa chini:-


And I quote:-

1. Chochote alichosomea huko muhimbili na kwingine hakikuwa upasua moyo. Yeye mwenyewe anasema kwenye website yake kwamba kajifunza upasua moyo Marekani. Tatizo ni kwamba waliomfundisha Marekani wanasema huwezi kujifunza upasua moyo kwa kutazama tu.

2. Upasua moyo huwa ni residency ya miaka minne. Unapasua mioyo ya watu kwa miaka minne mafunzoni. Dk. Masau hakuwahi kugusa mgonjwa mafunzoni. Yani mafunzo yake hayakubaliki huko katika nchi aliyosomea.

3. Sasa kama hafai kupasua moyo wa watu wa huko alikosomea sisi ndio kuku wa yeye kujifunzia ?

4. Kuhusu success rate yake, data niliyoipata ni ya zamani. Alikuwa ana success rate ya 62% mwaka 2003. Na hiyo ni data aliyoitoa mwenyewe. Inaweza ikawa chini ya hapo, kwenye hamsini na.

5. Yani kwa wastani alikuwa akigusa wagonjwa wawili mmoja lazima afe!

Ndiyo maana kuna wakati naipenda JF - huku ndiko kumkoma nyani haswaa. Wengine bado twasubiri kwa hamu ripoti tuliyoahidiwa kwa sababu ahadi ni deni. Bravo FMES.
 
Mimi na nadhani pia wananchi wote wazalendo wa taifa la tanzania,tulichokuwa kukikisubiri kota kwenye kikao ni kiki
1:kwamba kama alivyosema nape mwenyewe kwenye mahojiano na klhnews kuwa maslahi ya taifa mbele then ccm ifuate,ndocho muungwana alichokionyesha pia,kuwa kama jengo lina utata lichunguze maana lisemwalo lipo ndo maana ikaundwa kamati,bravo jk.tunasubiri majibu ya kamati.kwa hili mafisadi tumewapiga bao na kamati iliyoundwa isije kununuliwa na mafisadi,tuko nyuma yenu tukiwatazama kwa macho ya jf
2:nape ,kijana mdogo ,asiye na nguvu kubwa kitaifa,aliyeonyesha ushupavu wake kwa kukemea ufisadi ndani ya chama alichomo yeye mwenyewe na ccm ikayaona ayasemayo ni kweli ,kwa nguvu ya wajumbe hawakuangalia maamuzi ya kipuuzi yenyewe lengo la kuwanufaisha mafisadi,wakamwambia kijana akate rufaa.na huu ndo uamuzi tosha ambao naamini nape atatendewa haki yake kikatiba.pia twasubiri kwa hamu rufaa hiyo.
3:kama nilivyokuwa nimeshauliza kwenye post yangu ya nyuma ,niliuliza maamuzi yatakayotolewa na kikao ndio kikoo cha kujiangalia je,hii nchi ni kwa ajili ya wazalendo watanzania au mafisadi.?muungwana umetoa mwelekeo wa jibu kuwa sasa nchi hii tunaikomboa kuirudisha kwa watanzania wazalendo .kwa maana hiyo basi,wana jf tusilale usingizi tuakikishe tunakuwa watawala na mafisadi wanatokomea
 
Mimi na nadhani pia wananchi wote wazalendo wa taifa la tanzania,tulichokuwa kukikisubiri kota kwenye kikao ni kiki
1:kwamba kama alivyosema nape mwenyewe kwenye mahojiano na klhnews kuwa maslahi ya taifa mbele then ccm ifuate,ndocho muungwana alichokionyesha pia,kuwa kama jengo lina utata lichunguze maana lisemwalo lipo ndo maana ikaundwa kamati,bravo jk.tunasubiri majibu ya kamati.kwa hili mafisadi tumewapiga bao na kamati iliyoundwa isije kununuliwa na mafisadi,tuko nyuma yenu tukiwatazama kwa macho ya jf
2:nape ,kijana mdogo ,asiye na nguvu kubwa kitaifa,aliyeonyesha ushupavu wake kwa kukemea ufisadi ndani ya chama alichomo yeye mwenyewe na ccm ikayaona ayasemayo ni kweli ,kwa nguvu ya wajumbe hawakuangalia maamuzi ya kipuuzi yenyewe lengo la kuwanufaisha mafisadi,wakamwambia kijana akate rufaa.na huu ndo uamuzi tosha ambao naamini nape atatendewa haki yake kikatiba.pia twasubiri kwa hamu rufaa hiyo.
3:kama nilivyokuwa nimeshauliza kwenye post yangu ya nyuma ,niliuliza maamuzi yatakayotolewa na kikao ndio kikoo cha kujiangalia je,hii nchi ni kwa ajili ya wazalendo watanzania au mafisadi.?muungwana umetoa mwelekeo wa jibu kuwa sasa nchi hii tunaikomboa kuirudisha kwa watanzania wazalendo .kwa maana hiyo basi,wana jf tusilale usingizi tuakikishe tunakuwa watawala na mafisadi wanatokomea
Kwa kweli hapa kuna spinning ya hali ya juu kabisa.SS kazomewa ukumbini na wajumbe jana wewe unasema alikuwa ni shujaa,tena jk akamwambia hayo matendo yenu yanauwa chama live.Nape anaweza kushinda au kushindwa rufaa yake lakini kumtoa uanachama haikuwa ni nia yetu ya kumkomoa bali agenda yetu ilikuwa wakati wa mchakato hasiwe mwanachama wa uvccm na kwa msingi huo nia ilikuwa ni political assasination kwa muda ili asije kugombea uenyekiti wa vijana....wewe ulizani nia yetu ni uanachama wake,hujui kuona na kama unaona basi utambui....tumempiga nje ya duru kwa uwezo wake mdogo.NINAYO FURAHA KUKWAMBIA KUWA SASA NAPE SIYO MGOMBEA TENA NA THIS WAS OUR ATTENTION.HAHAHAHAHAHAHAH.
 
Jk kachomoa checkmate ya Lowassa kwa urahisi na hapo nampa pongezi.

Nape had no chance kwenye UVccm uenyekiti na yeye mwenyewe anajua ndio maana alitumia turufu ya ufisadi ili kuwapiga bao kina Lowassa na kina Lowassa wamejibu ingawaje wamekosea sana kwa kumpa Nape umaarufu wa bure na usio na sababu na kumdhoofisha Katibu Mkuu kupita kiasi kwenye macho ya wananchi kwa kuvalia njuga suala dogo sana.

Hapa bao ni 0-0, ingawaje Mafisadi wanakosea sana kwa kupigana vita visio vya lazima, kwa hiyo ukifika wakati wa vita vya lazima technique zao zinakuwa wazi.
Hakuna vita visivyo na lazima hasa ukizingatia nyuma ya Nape alikuwepo seguyemisi na kundi lake...wote walijiandaa kwenda kupambana na alama ya E ya Nape,kumbe ilikuwa ni danganya toto.wakauliza ajenda za kamati ya utekelezaji wakakuta hakuna mbaya kwa nape.wakalala.wakati baraza linaendelea ghafla kamati ya utekelezaji ikaitwa ghafl wajumbe wakabaki wanafanya semina tu ya ukimwi.Nape alipoitwa hakujua ni nini.akaambiwa una tuhuma jieleze,akadai waandishi wamemsingizia,ata akili ya kujitetea hana.akaambiwa toka nje,akatoka huku analia.Nchimbi akasema kuwa hasimamishwe tu kuhudhuria vikao kwa muda kama adhabu.wajumbe wakasema no na afukuzwe kabisa.sauti ya wengi ikabidi Nchimbi akubaliane na hilo.Wajumbe wote wakainuka na kuimba tuna imani na Nchimbi hoyaaa hoyaaaa hoyaaa
 
Hata identical twins hawakubaliani kila kitu itakuwa sisi! 🙂 Ndiyo uzuri wa JF kuna freedom of speech watu hata kama hamkubaliani katika mijadala lakini bado mnafanya hivyo kwa kuheshimiana na bila kutumia lugha chafu au zenye matusi ya nguoni. WanaJF wote tungekuwa tunakubaliana kila kitu basi hapa pangeboa na wengine tungeshaingia mitini 🙂

Ahsante Mkuu
Kwanza kabla ya kushabikia unayajua hayo marekebisho yenyewe?
1.kuweka nguvu ya bodi
2.kuweka cost ya investment kwa phases
3.kueleza hatua za kupitia kabla ya kudissolve in case of it.
Sasa hapo inahusiana vipi na hoja za Nape,
Tena kamati kuu haitokutana tena kujadili hilo bali wajumbe watatu wataangalia kuwa yamefanywa na watatoa go aheaad.nakuhakikishia kabla ya tarehe 26 mwezi huu itakuwa umesainiwa.

Ni aibu kwao na kwa Nape pia na hoja zake zilizotupwa zote.
 
CCM wametuthibitishia kuwa Makamba ni mbumbumbu mzungu wa reli. Hajui kanuni na taratibu zinazoongoza chama chake. Haiwezekani mtu alievuliwa uanachama wa Uvccm aendelee kuwa mjumbe wa NEC wakati kaingia huko kwa Nafasi yake ndani ya Uvccm.
 
Mkuu Bubu,

Pamoja na kwamba hatukubaliani na ishus nyingi sana, lakini hii tupo ukurasa mmoja, yaani one big step kwenye kuwapiga mafisadi, leo ni siku mbaya sana kwao,

kwa sababu Nape asingeweza kupitishwa kugombea UV-CCM as long as Nchimbi ni mwenyekiti huko, hilo halikuwa siri kuwa lilikuwa ni a dead end, lakini look whta the kid did kwa manufaa ya sisi wananchi na taifa kwa ujumla.

Bravo Bubu kwa kuliona hilo na tena kuliweka wazi hapa.
My interest ilikuwa ni Nape anakatwa jina ambapo yeye na wewe mlisema kuwa mna imani na vikao vya juu.sisi tumemkata kwa stahili tofauti kabisa na mliodhania nyie.

NINA FURAHA KUKWAMBIA KUWA WALAU KWA SASA nAPE SIO MGOMBEA TENA WA UVCCM.WAPAMBA WAKE WOTE TUMEWAHAMISHIA KWENYE VITA YA KUMUOKOA ASIVULIWE UANACHAMA WA UVCCM NA KUTUACHA TUKIENDELEA NA KUPANGA SAFU YETU YA MWENYEKITI MPYA.....

Marekebisho sio hoja kabisa kwa kuwa ata baraza kuu lilitoa marekebisho na tena yalikuwa ni makubwa zaidi ya hayo yalioletwa na kamati kuu.kwa mjinga yeyote kuangakia karekebisho ya kamati kuu kama ushindi ni kichekesho kikubwa sana kwa kuwa alitegemea kamati kuu hisione cha kurekebisha kabisa.
 
Mtu kama Makamba kwa maoni yangu alipaswa kujiuzuru au kulazimishwa kufanya hivyo sasa. Hata ule Ukuu wa Mkoa ulikuwa ni ngazi kubwa mno kwa uwezo wa huyu Mzee wetu. Kama Rais ameweza kumwachia Lowassa aondoke, sioni anashindwa nini kwa huyu kilaza wa siku nyingi Makamba!
 
Fisadi Mtoto,

You are missing something here bro/lady.

endelea kusoma

FP
 
Fisadi mtoto;

Samahani ila nahisi wewe ni mganga njaa. Unajua wazi hilo neno sio tusi. Isipokuwa lina maana ya mtu ambaye anaishi kwenye migongo ya watu na kujipendekeza ili mradi mkono uende kinywani.

Kitendo kilichofanywa na Baraza kuu la kumfukuza uanachama NAPE kama njia ya kumtoa kwenye nafasi ya kugombea uwenyekiti (mbinu chafu) ilipaswa kukemewa na sio kushangiliwa. Ni dalili ya ukosefu wa demokrasia ambayo wengi tunaipigania.

Kwa kweli ni mwehu tu au mwizi anayestahili kupigwa mawe hadi kufa ndio anaweza kushangilia kitendo cha dhuluma kama unavyoshangilia....

Asante. Umenikera sana.

FP
 
Fisadi mtoto;

Samahani ila nahisi wewe ni mganga njaa. Unajua wazi hilo neno sio tusi. Isipokuwa lina maana ya mtu ambaye anaishi kwenye migongo ya watu na kujipendekeza ili mradi mkono uende kinywani.

Kitendo kilichofanywa na Baraza kuu la kumfukuza uanachama NAPE kama njia ya kumtoa kwenye nafasi ya kugombea uwenyekiti (mbinu chafu) ilipaswa kukemewa na sio kushangiliwa. Ni dalili ya ukosefu wa demokrasia ambayo wengi tunaipigania.

Kwa kweli ni mwehu tu au mwizi anayestahili kupigwa mawe hadi kufa ndio anaweza kushangilia kitendo cha dhuluma kama unavyoshangilia....

Asante. Umenikera sana.

FP
ukitaka siasa ugangamae mguu sawa mguu pande.politics is a struggle for power who gets what how and why....hakuna lelemama kwenye siasa.wewe unadhani kwanini wana mageuzi wenyewe walipambana kumtoa Chacha Wangwe kwa kuongea nje ya kikao.Nape should go to hell.
 
Back
Top Bottom