Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
ATC ni shirika la Serikali na viongozi wake huteuliwa na Rais kwa hiyo bosi wao Mkuu ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hakuna kipendelea kinachosema kuwa Mtanzania akipata matatizo katika masuala yake yanayohusiana na dini basi asisaidiwe. Mbona Mrema alienda kusuluhisha migogoro kibao ya kule ARUSHA kwenye KKKT??
Kwa hiyo rukhsa kwa serikali kuchanganya dini na siasa?
mbona wale wanafunzi wa UKRAINE hawakupewa msaada wowote na hiyo hiyo serikali iliyo kimbelembele na hili ya kwenda MACCA?
kilichopo ni KIINI macho na unfortunately waislama wa BAKWATA hili hawalioni
Kwanini kwenye mambo huhimu ya waislam serikali hii hii haionekani?
Mrema naye probably aliona sawa kuingilia mambo ya KKT kwa sababu bosi wake Mwinyi alikuwa anafuturisha waislam Ikulu