Vision yao inaishia pua zao zinapoishia, kilichopo beyond pua zao hawakioni, hiyo ndo bahati mbaya waliyo nayo ccm na policcm wao. Wanasheria wao nafikiri wengi wao ni wale waliopata degree zao kwa kutumia ile kauli ya mkuu wa wilaya ya korogwe. Mfano mzuri ni yule aliyetuhumiwa na mkuu huyo wa wilaya. Sasa minyuso yao imekakamaa kwa aibu inayokaribia kuwapata. Mimacho imewatoka, kwa kesi hii tu watu wengi sana watajificha wasionekane mbele ya jamii (mf. mwigulu, nape, stella mwampamba, shonza, pasco, ritz, zemarcopolo, .... orodha ni ndefu sana ya watakaoaibika na kesi hii). Kaburi la ccm lipo wazi, kinachosubiriwa ni mzoga wa kutiwa humo.