unajua kupambana na chama kilicho makini na wanasheria wake ni kazi ngumu,ccm waliiua nccr kwa mbinu dhaifu kwakuwa hawakuwa na wanasheria bingwa kama wa chadema,mm ni mfuasi wa cuf ila kwa hili move la chadema,ccm wamechemka,na hili lilivyozito kwa taifa na chadema jinsi navyowaona wanalipeleka,watalimaliza kitaalam bila ku2mia nguvu,na kwa muono wangu hili likipangulia basi ccm watakuwa wamejizika rasmi maana ni mbinu kali waliyoitumia japo imeng'amuliwa na kila ki2, cna mengi zaidi ya kusema chadema nimemanyenyulia mikono,maana kingekuwa ni chama kingne basi hata ofc yake isingekuwa inaonekana zaidi ya jengo tuu,kama ni wanasheria basi chadema ilijiimalisha vibaya zaidi ya vwama vyote.