Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

FP,

Kwa kweli, waliokupatia majina (kwa hali yoyote ile) wamekosa. Binafsi, mimi nimekujibu vyema (natumaini hili) na sikukuita jina lolote kwa vile mimi nakufahamu (kupitia mitandao hii) kwa muda mrefu.

Wakati mwingine, huwezi kucontrol kila kitu kinachoandikwa hapa. Watu wamekuwa very angry na kilichofanywa na ccm kwenye kamati ya Mwinyi na kile kinachofanyika Chadema wakati huu.

Watu wanakata tamaa so wakati mwingine hizi flairs zitakuwepo. Cha kufanya ni wewe kuendelea kufanya vile umekuwa unafanya miaka yote. Kuendelea kujadili hoja.

Hayo mengine achana nayo - ingawa mimi nitakuwa nawajibu kipuuzi wale wote wanaokuja kipuuzi kwangu. Kwangu mimi hakuna high road kwa mtu ambaye hana high road to begin with.

Mwafrika;

Tupo hapa kuelimishana, mtu akija kipuuzi usimjibu kipuuzi bali mwelimishe.

hapo ndo tunatofautiana.
 
Acha kuangalia hizo picha kama ndizo zinakupa mizuka mibaya ndugu yangu. Pia husijaribu kutafuta demu kama mila na sheria zao hazitaki, watakuchinja bure. Ila sio mbaya ukatuambia ni nchi gani hiyo nasi tukaijua itatusaidia pia kama kuna mdau ataenda uko aende na kimwana wake kabisa
 
Mwafrika;

Tupo hapa kuelimishana, mtu akija kipuuzi usimjibu kipuuzi bali mwelimishe.

hapo ndo tunatofautiana.

Fairplayer,

Niliacha zamani sana kuchukua high road. Mtu akileta upuuzi kwangu anapata upuuzi wangu. Elewa pia, mimi sina tabia ya kutukana watu hapa na kuvunja sheria za JF - ndio maana sijawahi kufungiwa hata siku moja.

Kitu kimoja ambacho nitatofautiana nawe, I dont dignify stupidity.
 
Pole sana mdogo wangu. usidhani ni peke yako watu wengi sana wanalalamika hiyo mambo,ch a muhimu punguza taratibu,there is one thing you can definately control,stop watching pono.

Then hiyo mambo punguza taratibu.
 
Naona tungoje majibu, labda kesho. Ngoja niwahi home internet cafe hii wanataka kufunga, si mnajua wa TZ wengine bado kiuchumi? ndo maana tunakua na uchungu na nchi hii.
 
Jasusi,

Sijazumgumzia mafisadi, hoja yangu ni kwenye kuvumiliana kwenye kutofautiana kimawazo kwenye chama.

ubajuaje kama Kafulila kafukuzw akwa vile anatofautina kimawazo kwenye chama..and infact kama yuko CHADEMA then anatofautiana kimawazo na kimtazamao kama CHADEMA inavotaka then hapo si mahali pake..apeleke mawazo yake kwenye chama kinachoendana na mawazo yake ambayo ndani ya CHADEMA ni tofauti..
 
Jasusi,

Sijazumgumzia mafisadi, hoja yangu ni kwenye kuvumiliana kwenye kutofautiana kimawazo kwenye chama.

unajuaje kama Kafulila kafukuzwa kwa vile anatofautina kimawazo kwenye chama??..and infact kama yuko CHADEMA then anatofautiana kimawazo na kimtazamao kama CHADEMA inavotaka then hapo si mahali pake..apeleke mawazo yake kwenye chama kinachoendana na mawazo yake ambayo ndani ya CHADEMA ni tofauti..
 
Naona tungoje majibu, labda kesho. Ngoja niwahi home internet cafe hii wanataka kufunga, si mnajua wa TZ wengine bado kiuchumi? ndo maana tunakua na uchungu na nchi hii.

Sawa mkuu,

Asante kwa mjadala mzuri. Chadema wakitoa tamko rasmi kuhusu hili jambo, natumaini kuwa utapata majibu ya maswali yako yote.
 
bora CCM chama cha watanzania wote ila CHADEMA CHA UKOO.

Baada ya kusoma post yako nimejisikia tofauti kidogo kuwa nikuulize kuwa ulimaanisha kweli?

Kumbe ccm ni chama cha watanzania wote! Mie nilidhani watanzania wapo kuwapigia kura, ila wenye chama wapo!
 
Fairplayer,

Niliacha zamani sana kuchukua high road. Mtu akileta upuuzi kwangu anapata upuuzi wangu. Elewa pia, mimi sina tabia ya kutukana watu hapa na kuvunja sheria za JF - ndio maana sijawahi kufungiwa hata siku moja.

Kitu kimoja ambacho nitatofautiana nawe, I dont dignify stupidity.

Mwafrika;

"Stupidity denotes actual antiknowledge. If knowledge is a positive quantity on the spectrum and ignorance is a zero, stupidity must actually be a negative ......" Anoni

So waelimishe na sio kuwafanya waendelee kuwa stupid!
 
Baada ya kusoma post yako nimejisikia tofauti kidogo kuwa nikuulize kuwa ulimaanisha kweli?

Kumbe ccm ni chama cha watanzania wote! Mie nilidhani watanzania wapo kuwapigia kura, ila wenye chama wapo!

na wewe mama J5 bana..chama cha ukoo maana yake nini..usitutibue hapa na CHADEMA yetu..kama wewe ni CCM simkaae na dubwana lenu huko yanawawasha nini ya CHADEMA..huku hatukani uanachama wa watu na then kubadilisha..huku ukiharibu ni kufukuzwa tu
 
Kafulila amefanya mazungumzo na wanahabari leo, ameeleza kuwa uteuzi wake umetenguliwa. Ameulizwa kama amefukuzwa uanachama, amekanusha kuwa hakufukuzwa uanachama. Anasema uteuzi wake umetenguliwa na Katibu Mkuu Dr Slaa kupitia kikao cha sekreriati kama ambavyo Rais anatengua uteuzi wa mawaziri. Amesema yeye na Danda wameenguliwa kwenye nafasi zao. Amesema kwamba ameelezwa kwa mdomo na Dr Slaa kwenye kikao cha sekretariati leo.

Ameeleza kwamba aliitwa kwenye kikao cha sekretariati ya leo kuhojiwa kuhusu matamshi yake kwenye vyombo vya habari yaliyomtuhumu Mwenyekiti Mbowe kufanya kikao kisicho rasmi Dodoma kwa ajili ya kumwengua uanachama yeye na wenzake. Leo ameongea na waandishi wachache ila ameahidi kuzungumza kwa kina kwenye mkutano wa wanahabari baada ya kupokea barua rasmi anayotarajiwa kupatiwa kesho. Nitarejea kwenu na maelezo zaidi yaliyotokana na maswali na majibu.

PM
 
Mwafrika;

"Stupidity denotes actual antiknowledge. If knowledge is a positive quantity on the spectrum and ignorance is a zero, stupidity must actually be a negative ......" Anoni

So waelimishe na sio kuwafanya waendelee kuwa stupid!

FP,

Estimation yangu ni kuwa - wanachama wengi hapa ni miaka 18 na kuendelea. Kama mtu amekuwa stupid kwa miaka 18 au zaidi na kama wazazi na walimu wake hawakuwa kumfundisha kwa miaka yote hiyo, then, there is absolutely nothing I can do to change him/her.

Ninaweza kujaribu kuondoa ignorance (kutokujua mambo) kwa kufundisha. Stupidity --- no way.
 
Kafulila amefanya mazungumzo na wanahabari leo, ameeleza kuwa uteuzi wake umetenguliwa. Ameulizwa kama amefukuzwa uanachama, amekanusha kuwa hakufukuzwa uanachama. Anasema uteuzi wake umetenguliwa na Katibu Mkuu Dr Slaa kupitia kikao cha sekreriati kama ambavyo Rais anatengua uteuzi wa mawaziri. Amesema yeye na Danda wameenguliwa kwenye nafasi zao. Amesema kwamba ameelezwa kwa mdomo na Dr Slaa kwenye kikao cha sekretariati leo.

Ameeleza kwamba aliitwa kwenye kikao cha sekretariati ya leo kuhojiwa kuhusu matamshi yake kwenye vyombo vya habari yaliyomtuhumu Mwenyekiti Mbowe kufanya kikao kisicho rasmi Dodoma kwa ajili ya kumwengua uanachama yeye na wenzake. Leo ameongea na waandishi wachache ila ameahidi kuzungumza kwa kina kwenye mkutano wa wanahabari baada ya kupokea barua rasmi anayotarajiwa kupatiwa kesho. Nitarejea kwenu na maelezo zaidi yaliyotokana na maswali na majibu.

PM

FP,

Naona taratibu lakini kwa hakika, majibu ya kilichotokea yanaanza kutolewa. Huyu PM huwa namuaminia kwa inside information za vyama vyote Tanzania.
 
Usijali sana bado mdogo mno, 22 years!!???

Ukikua utaacha...😉
 
Kafulila amefanya mazungumzo na wanahabari leo, ameeleza kuwa uteuzi wake umetenguliwa. Ameulizwa kama amefukuzwa uanachama, amekanusha kuwa hakufukuzwa uanachama. Anasema uteuzi wake umetenguliwa na Katibu Mkuu Dr Slaa kupitia kikao cha sekreriati kama ambavyo Rais anatengua uteuzi wa mawaziri. Amesema yeye na Danda wameenguliwa kwenye nafasi zao. Amesema kwamba ameelezwa kwa mdomo na Dr Slaa kwenye kikao cha sekretariati leo.

Ameeleza kwamba aliitwa kwenye kikao cha sekretariati ya leo kuhojiwa kuhusu matamshi yake kwenye vyombo vya habari yaliyomtuhumu Mwenyekiti Mbowe kufanya kikao kisicho rasmi Dodoma kwa ajili ya kumwengua uanachama yeye na wenzake. Leo ameongea na waandishi wachache ila ameahidi kuzungumza kwa kina kwenye mkutano wa wanahabari baada ya kupokea barua rasmi anayotarajiwa kupatiwa kesho. Nitarejea kwenu na maelezo zaidi yaliyotokana na maswali na majibu.

PM
Asante PM,

Title ya topic sasa inaweza kubadilishwa!
 
Asante PM,

Title ya topic sasa inaweza kubadilishwa!

Invisible mkuu, Nilikuwa najiuliza kuwa hii title itabadilishwa saa ngapi. Ilikuwa kidogo nianzishe thread na nilie kama kichaa wa mirembe kuhusu title ya hii thread (LOL) if you know what I mean.
 
pole sana,ebu tuambie ni nchi gani hiyo upo? ili nasi tuwe makini tukipata chance za namna hiyo
 
Back
Top Bottom