Sioni tatizo wewe ndo mshabiki. NO WONDER CCM INAPATA ASILIMIA 80%.
Tutawaongoza/tawala MILELE!
Fairplayer,
CCM inatangazwa kuwa imepata asilimia 80. Hayo ya kutawala milele, well, time will tell.
Sioni tatizo wewe ndo mshabiki. NO WONDER CCM INAPATA ASILIMIA 80%.
Tutawaongoza/tawala MILELE!
Sioni tatizo wewe ndo mshabiki. NO WONDER CCM INAPATA ASILIMIA 80%. Tutawaongoza/tawala MILELE!
sijaona kitufe cha senksi, ningekutwanga senksi.
Tunaongelea kuhusu sisiem kuwafukuza wanachama ambao ni watuhumiwa wa ufisadi, na wakifukuzwa watu watakuwa happy. sasa CHADEMA wakifukuza mwanachama hata kama ni ofisa kwa sababu za kinidhamu, watu hawataki wanaona ni uonevu...........Mimtu mingine bana.
Mwafrika;
Mimi ni CCM, ila naweka Utaifa mbele, nimeuliza:
1. Kwanini mwenyekiti kama alikuwa na uhakika na utoaji siri/tuhuma dhidi ya David alihitisha mkutano usio rasmi Dodoma kumjadili?
2. Je kama ilithibitika kuwa anatoa siri za chama aliitwa ajitetee na kupewa muda ajirekebishe?
3. Kikao kilichomuondoa uongozi kilikuwa halali?
4. Chadema hamna jinsi ya kujadili tofauti zenu za kimtazamo au kimsimamo ndani ya chama bila kufukuzana?
5. Je hamuoni (Chadema) kuwa kufukuzana mnawagawa wanachama katika makundi?
Asante in advance kwa majibu.
Kwanza hiyo 80% ya sample ya % ngapi? ukichaguliwa na watu sita kati ya watu 20 waliotakiwa wapige kura unasema mbele ya watu wenye akili timamu kuwa umeshinda?? labda udanganye kenge.Fairplayer,
CCM inatangazwa kuwa imepata asilimia 80. Hayo ya kutawala milele, well, time will tell.
Fairplayer, hii sio simba na yanga!!!! ni mambo yanayohusu mstakabali wa nchi yetu. ni mambo ya msingi kabisa, yanahusu mama na shangazi zako wanaokufa kwa kukosa mkunga kijijini kwenu.
Its not about ushaiki wa nani anatawala na nani anatawaliwa. THINK.
Akiwa na post nane tu kwi kwi kwi kwi....pale aliteleza vibaya!
Rejea maswali yangu juu, utajua msimamo wangu. Ninapata uchungu kuona chama ambacho angalau kingefanya CCM iamke usingizini nacho kinaanza kuvurugika.
Thats UTAIFA.
and Thats all.
FP,
Kulingana na Invisible,
Viongozi wa chadema hawajasema chochote kilichotokea. Kuna mtu hapo juu kakanusha kuwa Kafulila hajafukuzwa uanachama ila amevuliwa uongozi.
Kama kweli amefukuzwa, yote yatawekwa wazi hapa. Kwa sasa, mimi na wewe tunajadili speculations tu. Kwa mtizamo wangu, huyu kafulila angepewa adhabu na chama siku nyingi sana kwa yote aliyofanya kuanzia uchaguzi mkuu uliopita.
Robot,
Hii thread inaelekea kupoteza mwelekeo..............!
Tupo pamoja Mwafrika. Usisahau kunitaftia majibu najua sio maswali magumu.
Kwanza hiyo 80% ya sample ya % ngapi? ukichaguliwa na watu sita kati ya watu 20 waliotakiwa wapige kura unasema mbele ya watu wenye akili timamu kuwa umeshinda?? labda udanganye kenge.
Lakini ndio wanaoongoza nchi, na kutufikisha hapa tulipo!
A day-dreamer. A blind zealot. That's all how I can describe u!
A day-dreamer. A blind zealot. That's all how I can describe u!
M-Mbabe;
What a nice way of arguing?, Thank again you Sir!
Tusijekuwa watu wa mipasho kama mama fulani? Je hizi habari zimethibitishwa?