Alifukuzwa CHACHA, mwacheni aende , kama hakuna maridhiano wanini ChamaniAnastahili kufukuzwa! Yeyote anayejaribu kuleta vurugu kwenye chama chochote dawa ni kufukuzwa tu. Chama hakiendeshwi na watu wakorofi wenye kutaka kuleta migogoro isiyokuwa na sababu? Chama kinaendeshwa kwa maelewano na makubaliano na si kwa migogoro!
Huyu kijana inaonekana nidhamu yake imeshuka tangu kipindi kile cha Uchaguzi wa viongozi ndani ya CHADEMA. Na nasikia huyu kijana ni kundi la Zito, kwa hiyo asimdharau mkuu akidhani Zito atamtetea na nina muomba Zito kama kweli ana mapenzi na CHADEMA aache kuingilia na kijana aadhibiwe kama kakosa nidhamu.
Duh,tena kama kweli kafukuzwa bora....huyu jamaa alikuwa na timu yake na baada ya kukosa uenyekiti wa bavicha amenazisha tabia ya kutoa siri za chama kwa CCM. Afukuzwe tu!!!!!!!!
Zitto alisema humu hakuna atakayefukuzwa.
Mimi nasisitiza kuwa kufukuza mwanachama sio sahii ila kumuondoa kwenye uongozi ni sahihi especially tatizo ikiwa ni kutofautiana misimamo au mtazamo. Ila kama ana makosa kama ya kuvujisha siri basi VIKAO HALALI VIKAE NA KUONYWA, akizidi wamfukuze.
Ila Chadema mmmhhhh!