Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
- Thread starter
- #341
Yebo Yebo.. ndio maana mimi n nilimuuliza point blank.. kwanini asiende tu kutoa rushwa na kuplay ball na wakubwa na mambo yakamnyokea? yeye hataki kuwapigia magoti na kuwashirikisha katika hii keki. Sasa wakimuambia "sawa Dr. tutaleta wagonjwa kwako lakini sisi tutapata nini" yeye awaambieje wakati kule India walipoulizwa hilo swali jibu lake linajulikana?
Dr. Masau angekaa kimya na kuzungumza nao chemba bila kusema mambo ya mikataba. Angefanya kimya kimya. Hivi unafikiri sasa miye na kamtaji kangu nikiamua kufungua radio si ndo itakuwa vurugu!?
Dr. Masau angekaa kimya na kuzungumza nao chemba bila kusema mambo ya mikataba. Angefanya kimya kimya. Hivi unafikiri sasa miye na kamtaji kangu nikiamua kufungua radio si ndo itakuwa vurugu!?