Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Kwa mara nyingine tena naomba jamani anzisheni mada yenu ya kupeana habari zenu iacheni mada yangu na Kubenea.I am here for Kubenea na Mwana Halisi .Chinganakundi lako please heshima .Mnaweza kuanzisha mada yenu na mkaendelea kwa wakati mkaacha hii mada ya Kubenea.

Nakubaliana nawe Lunyungu! Ni vyema watu wakarudi kwenye mada. Kwa sasa mada hii inaelekea kwengine kabisa.
 
Nakubaliana nawe Lunyungu! Ni vyema watu wakarudi kwenye mada. Kwa sasa mada hii inaelekea kwengine kabisa.

Mkuu Dotori,

hii ni housekeeping tu inaendelea kusafisha rants za huyu mama ambaye hataki kabisa kusikia mwanahalisi likichangiwa. Akipata dozi yake inayomtosha, thread itaendelea na so far wasomaji wa JF ambao wengi ni makini wanatenganisha pumba na mchele!
 
KUBENEA keshatusaidia nini hapa JAMBO FORUMS?

MWANAHALISI lishasaidia nini kuhusu JF?

Whats so special kuhusus Mwana halisi?

KUBENEA mbona hakuisaidia JF zile pesa alizoopewa na LOWASSA?
 
KUBENEA keshatusaidia nini hapa JAMBO FORUMS?

MWANAHALISI lishasaidia nini kuhusu JF?

Whats so special kuhusus Mwana halisi?


Gazeti pekee Tanzania kuandika list ya mafisadi mwaka jana ambapo magazeti mengi yalisita kufanya hivi. Mwanahalisi wamekuwa wakiandika kile ambacho kinasemwa hapa JF ili wale wasio na mtandao wa internet wakipate.

KUBENEA mbona hakuisaidia JF zile pesa alizoopewa na LOWASSA?

Kubenea ametumia "hizo pesa za Lowasa" kummaliza Lowasa hadi kupelekea mke wa Lowasa kulia bungeni kwa aibu.
 
KUBENEA keshatusaidia nini hapa JAMBO FORUMS?

MWANAHALISI lishasaidia nini kuhusu JF?

Whats so special kuhusus Mwana halisi?

KUBENEA mbona hakuisaidia JF zile pesa alizoopewa na LOWASSA?

Hivi ule uvumi wa kwamba alikuwa anakula pesa kwa mafisadi ili asiwaandike ni kweli?
 
KUBENEA keshatusaidia nini hapa JAMBO FORUMS?

MWANAHALISI lishasaidia nini kuhusu JF?

Whats so special kuhusus Mwana halisi?

KUBENEA mbona hakuisaidia JF zile pesa alizoopewa na LOWASSA?

Pesa alizopewa na Lowasa kama fidia (au pole) ya kumwagiwa tindikali?

Jf na MwanaHalisi - common interest? Kupambana na mafisadi? Au mmoja wao ni mlinzi wa mafisadi? (implying pesa za Lowasa)
 
KUBENEA keshatusaidia nini hapa JAMBO FORUMS?

MWANAHALISI lishasaidia nini kuhusu JF?

Whats so special kuhusus Mwana halisi?

KUBENEA mbona hakuisaidia JF zile pesa alizoopewa na LOWASSA?
wanafikiri watu wajinga humu.Asante sana
uwaulize na ruzuku wanakula wao.Kubenea huyo huyo alipelekwa INDIA kwa pesa za JK. wanafanya biashara bila kuwa na insurance?
wakiumwa mchango. wakifikishwa mahakamani mchango.majambazi haya achana nayo.
 
Pesa alizopewa na Lowasa kama fidia (au pole) ya kumwagiwa tindikali?

Kalamu, weka hayo maneno ya pesa za Lowasa kwenye mabano maana hata kuna wanaosema kuwa hii JF ina pesa toka kwa Kikwete.

Jf na MwanaHalisi - common interest? Kupambana na mafisadi? Au mmoja wao ni mlinzi wa mafisadi? (implying pesa za Lowasa)

Mwanahalisi waliandika list of shame pamoja na kina chenge kutoa vitisho kibao vya kushitaki gazeti lolote litakaloandika majina yao.

Hawa the more unavyowatisha ndivyo wanakufunua tu (hata unapodai kwa umewapa pesa kama Lowasa).
 
Kuishiwa wameishiwa Mbowe na Zitto , Mbowe kapelekwa mahakamani kwa deni huko ndio kuishiwa.
Zitto nae anakuja humu kuomba mchango kwa ajili ya gazeti lake.ndio kaishiwa.

Mwanakijiji kuja na mwafrika wa kike, senti 50, madela, ben na Koda ni kuishiwa.hana pesa wala elimu kudadadeki Marekani mchezo?
hukukijui chama ulipokuwa Bongo leo unatakipenda ukiwa Ughaibuni? hiyo inaitwa Agreement under Duress au kwa Stress za maisha. na ukija bongo unapigwa bao hupati ubunge wala udiwani. Chadema ni NGO YA wachagga wewe sio mchagga utashika mapembe tu. maziwa yatakamuliwa na kina MTEI na Mbowe.

We mama hapa hoja ni michango ya kumsaidia Saed Kubenea hatutaki kujua nani ana degree nani hana kusoma sana sio kufanikiwa kimaisha!

Then jifunze adabu lugha chafu zinaonyesha wewe ni mtu wa aina gani!

Kisha kama umetumwa utachoka mwenyewe JF ni moto wa gesi!

Halafu kama Chadema NGO ya wachagga Zitto nae mchagga?

Zungumza kwa hoja kama huna zima PC yake kako##e kisha ukalale.

Members wa JF tupeane mawazo jinsi ya kufanikisha kumsaidia Saed Kubenea

http://saedkubenea.blogspot.com/
 
wanafikiri watu wajinga humu.Asante sana
uwaulize na ruzuku wanakula wao.Kubenea huyo huyo alipelekwa INDIA kwa pesa za JK. wanafanya biashara bila kuwa na insurance?
wakiumwa mchango. wakifikishwa mahakamani mchango.majambazi haya achana nayo.

Sikujua kuwa pesa ya serikali ya Tanzania ni za JK!

kweli mama unaishiwa hapa!
 
We mama hapa hoja ni michango ya kumsaidia Saed Kubenea hatutaki kujua nani ana degree nani hana kusoma sana sio kufanikiwa kimaisha!

Then jifunze adabu lugha chafu zinaonyesha wewe ni mtu wa aina gani!

Kisha kama umetumwa utachoka mwenyewe JF ni moto wa gesi!

Halafu kama Chadema NGO ya wachagga Zitto nae mchagga?

Zungumza kwa hoja kama huna zima PC yake kako##e kisha ukalale.

Members wa JF tupeane mawazo jinsi ya kufanikisha kumsaidia Saed Kubenea

http://saedkubenea.blogspot.com/

Sokomoko,

Soma michango yote ya chinga utaona kuwa hiki kinachoendelea hapa ni cha mtoto. yuko kwenye mission ya kuchafua na kutukana ili baadaye afungiwe na kuanza rants kuwa JF kuna uonevu.
 
Gazeti pekee Tanzania kuandika list ya mafisadi mwaka jana ambapo magazeti mengi yalisita kufanya hivi. Mwanahalisi wamekuwa wakiandika kile ambacho kinasemwa hapa JF ili wale wasio na mtandao wa internet wakipate.



Kubenea ametumia "hizo pesa za Lowasa" kummaliza Lowasa hadi kupelekea mke wa Lowasa kulia bungeni kwa aibu.

Zitto ndio mwenye gazeti alipe gharama. kwa hiyo yanayoandikwa ni uongo ingekuwa gazeti lenye msimamo lingesema twende mahakamani.kwanini mnaogopa Mahakama na mliyosema ni kweli.
Mwanakijiji ulisema jana nimekukimbia jibu hoja zangu. kutumia majina ya kike haikusaidii kitu.
 
We mama unamu admire mzee mwanakijiji?basi mpe PM mzee mwanakijiji something fishy here umekataa nini huyu mama mbona kila post mwanakijiji mwanakijiji inakuwaje mzee mzima?hebu tupe hint.

Alieuliza kuhusu kutuma pesa haina neno kutuma direct mnamuogopa nani? nyie tutawapa swift code hapa JF kisha mtadeposit huko huko hata msipotaja majina yenu halali au watumieni watu wennye majina ya kikimbizi huko.

Mimi hapa ndio nimeuliza kuhusu hilo swali, sasa mbona tena unageneralise, be specific. Kwani kuuliza ni kosa?
 
Sikujua kuwa pesa ya serikali ya Tanzania ni za JK!

kweli mama unaishiwa hapa!
Kaishiwa bwana wako Mbowe anadaiwa. na kitendo cha kukupumulia wewe ni kuishiwa hana sifa ya uongozi.mtu ukiwa unapumuliwa mgongoni basi ukimuona Mbowe unanywea kabisa.
 
tafadhali matusi ya nguoni jamani hayo, wengine tunawaruhusu watoto wetu kuingia humu. Is this forum for adults only?

Tolerance has its limits, remember that.
 
We mama hapa hoja ni michango ya kumsaidia Saed Kubenea hatutaki kujua nani ana degree nani hana kusoma sana sio kufanikiwa kimaisha!

Then jifunze adabu lugha chafu zinaonyesha wewe ni mtu wa aina gani!

Kisha kama umetumwa utachoka mwenyewe JF ni moto wa gesi!

Halafu kama Chadema NGO ya wachagga Zitto nae mchagga?

Zungumza kwa hoja kama huna zima PC yake kako##e kisha ukalale.

Members wa JF tupeane mawazo jinsi ya kufanikisha kumsaidia Saed Kubenea

http://saedkubenea.blogspot.com/
Zitto sio yatima hadi apitishe bakuli la njaa. anyway kazoea kuomba na utapeli ndio maana Dada yetu (Shida) alinyea debe ukonga miezi sita. sheria si mchezo. kumbe kuomba omba ni maumbile ya watu.
 
Zitto ndio mwenye gazeti alipe gharama. kwa hiyo yanayoandikwa ni uongo ingekuwa gazeti lenye msimamo lingesema twende mahakamani.kwanini mnaogopa Mahakama na mliyosema ni kweli.
Mwanakijiji ulisema jana nimekukimbia jibu hoja zangu. kutumia majina ya kike haikusaidii kitu.

Kumbe huna taarifa kuwa mwanahalisi waanaenda mahakamani! na kwa taarifa yako michango inamiminika sasa hivi na watampa hell huyo mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata rostam azizi!
 
Kaishiwa bwana wako Mbowe anadaiwa. na kitendo cha kukupumulia wewe ni kuishiwa hana sifa ya uongozi.mtu ukiwa unapumuliwa mgongoni basi ukimuona Mbowe unanywea kabisa.

ukimaliza hii utaanza ipi?

Matusi kuwa wakristo wote ni makafiri kama ulivyofanya London?
 
Back
Top Bottom