Kwa mara nyingine tena naomba jamani anzisheni mada yenu ya kupeana habari zenu iacheni mada yangu na Kubenea.I am here for Kubenea na Mwana Halisi .Chinganakundi lako please heshima .Mnaweza kuanzisha mada yenu na mkaendelea kwa wakati mkaacha hii mada ya Kubenea.
Nakubaliana nawe Lunyungu! Ni vyema watu wakarudi kwenye mada. Kwa sasa mada hii inaelekea kwengine kabisa.