Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
hili sawa nichapinga ni kupewa michango huyu bwana Chopa MWANAKIJIJI kila tukio anasema tuchange na yeye ndiye mshikaji wa michango. alituchangisha mchango wa muuza madawa mwenzake aliyepata ajali kazini.
mara watoto yatima mara Ukraine na huko kote hakuna AUDITING? wakati jamaa hana kazi wala kibali halali.
Ulitaka upewe wewe ambaye huna historia yoyote ya kazi njema kwa taifa zaidi ya kujaribu kuligawa taifa kwa misingi ya kidini?