Safi sana mama yangu samia suluhu hassani kwa hili

Safi sana mama yangu samia suluhu hassani kwa hili

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Naanza kwa kumpongeza rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania , mama yetu Samia Suhulu Hassan katika raisi aliefanya mambo makubwa pia jina la Samia suluhu hassani haliwezi kukosekana.
Leo ukifika kishiri hkuna vumbi tena ni mwendo wa lami ni kuteleza tu mwaaaaaah hakuna kupauka na wasukuma wamesema october tunatiki mapema tu kazi iendelee
Sasa watu wa kishiri wanafuraha kero ya vumbi imekwisha sasa ni kazi
Asante, october tunatiki kwa mama
 
Back
Top Bottom