Wanaume kama mabinti,muuliza swali unatuangusha bana, swali gani hilo?Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Karibu warumi.. Hebu mwaga huo ubuyuNina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
Wewe unakerekwa niniHuyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Umwage mkuu.Nina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
We huoni kitumbo kimejaa ngada!Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Kakufanyia nini hadi umchukie?Halafu simpendi huyu jamaa!
Ohoooo!!!Ana janamke moja kubwa kwa umbo na umri kama mamake ndo anaenda kulitembelea
Warumi bwana hahaaa uvumilivu umekushinda una ka new id now atakua analipwa na office kukusanya habari za michezoHuyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Bahati hiyo kuzaliwa shosti hahahaMleta thread bora ungezaliwa shoga
Au kisa baba Jesca hasafiri?Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Na wewe panda daladala kwenda na kurudi mbagala mpaka uchoke.Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Saafi sana!Jamaan wabongo vp
Huyo maulid ,,kibonde ,wamepata kaz dstv kwa siku za weekend kwenda kuchambua soka kwenye dstv kwa lugha ya kiswahili sasa kila ijumaa wanaenda south na jpili wanarud bongo kuendelea na kazi ,na dstv wanavuta mkwanja mrefu sana ,tuwape support ndugu zetu tusiwafikilie vibaya wanafanya kaz
Aliyeturoga jamaa uyo apo chiniWatanzania tumerogwa