Umafia wa Wakenya kwa Gari za Tanzania kwenye Mbuga ya Masai Mara

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
455
1,283
Nimeona mahali Mzungu mmoja anaishi Arusha analalamika sana kule Facebook, kwamba alienda Masai Mara kwa safari ya Private na gari lenye namba za Usajili za Tanzania wakamzuia kuingia Hifadhini.

Sasa kumbe ni kwamba wanazuia Magari yenye number za usajili za Tanzania pekee huku magari ya number za nchi zingine kama Uganda, South Africa, Rwanda na kadhalika yakiruhusiwa, wao wana dili na Magari ya Tanzania peke yake ni jambo la ajabu sana. Na kumbuka si kwamba wanazuia magari ya Tanzania yale ya Utalii hapana ni hata private, yaani una gari lako unataka kwenda Masai Mara hawakuruhusu kuingia ila ukawa na hari lina number za hata Zambia basi utaingia.

Swali ni je mbona wao wanaingia na magari yao hifadhi za Tanzania? Ifike wakati Watanzania tuache kujipendekeza sana kwa hawa jamaa, inaelekea tunajikomba sana kwao kuliko wao wanavyo jikomba kwetu. Hawa ni kweda nao vile wanavyo taka wao.

Hii inafanywa na Count ya Narok, yaani kwa Kenya ujue Jamii zina nguvu na zile higadhi zao kuliko jata Serikali yenyewe.
 
Wakenya wanaroho mbaya sana!!Kasoro Dada Zao hawachomoi kwa Vijana wa Kibongo.Wanatafunwa sana na Wanawapenda sana vijana wa KiTanzania
 
Nimeona mahali Mzungu mmoja anaishi Arusha analalamika sana kule Facebook, kwamba alienda Masai Mara kwa safari ya Private na gari lenye namba za Usajili za Tanzania wakamzuia kuingia Hifadhini.

Sasa kumbe ni kwamba wanazuia Magari yenye number za usajili za Tanzania pekee huku magari ya number za nchi zingine kama Uganda, South Africa, Rwanda na kadhalika yakiruhusiwa, wao wana dili na Magari ya Tanzania peke yake ni jambo la ajabu sana. Na kumbuka si kwamba wanazuia magari ya Tanzania yale ya Utalii hapana ni hata private, yaani una gari lako unataka kwenda Masai Mara hawakuruhusu kuingia ila ukawa na hari lina number za hata Zambia basi utaingia.

Swali ni je mbona wao wanaingia na magari yao hifadhi za Tanzania? Ifike wakati Watanzania tuache kujipendekeza sana kwa hawa jamaa, inaelekea tunajikomba sana kwao kuliko wao wanavyo jikomba kwetu. Hawa ni kweda nao vile wanavyo taka wao.

Hii inafanywa na Count ya Narok, yaani kwa Kenya ujue Jamii zina nguvu na zile higadhi zao kuliko jata Serikali yenyewe.
Na nyie zuieni magari Yao badala ya kulia lia Kila mda
 
... unaachaje kwenda Eden (Ngorongoro Crater, Serengeti, Ruaha, Burigi-Chato, Selous, Kitulo, the Kilimanjaro, Mkomazi, etc.) upoteze muda wako kwenda sijui wapi huko!

When it comes to wild adventures none like Tanzania. Sema na sisi taasisi zimelala but this country should be at the next level when it comes to wild tourism.
 
Tatizo Wakenya wameshajaza vijana wao wengi humu Tanzania. Na wengi hujifanya wazawa halisi wa Tz, na wako wengi humu JF.

Kazi yao kubwa ni kumshambulia mtu yoyote anaeleta mada za aina hii kwa kigezo kuwa wakenya hawana tatizo ila tatizo linaanzia kwetu Tz nk.

Hata linapotokea tatizo la mambo ya kiuchumi, vijana hao huishambulia serikali kwa kushindwa kusimamia vizuri mambo fulan fulan ya kimipaka na kibiashara hata kama wanajua wazi kuwa hilo tatizo limeanzia Kenya.
 
Back
Top Bottom