Messi aongoza wanasoka waliotazamwa mara nyingi Mtandaoni 2023

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Stats.jpg
Utafiti Tovuti ya FBref.com inayojihusisha na takwimu za michezo mbalimbali, umeonesha nyota wa Inter Miami, Lionel Messi ndiye mchezaji wa soka aliyetazamwa mara nyingi mtandaoni katika Nchi mbalimbali kwa Mwaka 2023.

Utafiti huo umeonesha mafanikio ya Kombe la Dunia na uhamisho wake kutoka PSG kwenda Inter Miami ilichangia jina lake kutafutwa mara nyingi pia ameongoza kwa kutafutwa katika Majimbo 50 ya Marekani.

Baadhi ya Nchi ambazo Messi ameshika namba moja kwa kutafutwa zaidi ni China, India, Afrika Kusini, Ujerumani, Ghana, Italia, Ubelgiji, Sweden, Uholanzi, Misri, Canada, Uturuki na Argentina.

Mpinzani wake mkubwa, Cristiano Ronaldo ameshika namba moja Ureno pekee. Moises Caicedo wa Chelsea ameshika namba moja England, Scotland, Wales, Ireland na Ireland Kaskazini.

Ajabu ni kuwa Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Guti ameshika namba moja Colombia huku Neymar akiongoza kwa Brazil, Kylian Mbappe (Ufaransa) na Vinicius Junior (Hispania).


=== ===

Lionel Messi dominates as new study reveals the most viewed players on the internet in each country in 2023... while Moises Caicedo comes out on top in the UK and there is little sign of Cristiano Ronaldo

Lionel Messi was the standout name as a recent study revealed which players were the most viewed on the internet in each country in 2023.

bref Stats gave fans an interesting insight as to which stars of the game were searched for or looked at online during the past calendar year.

And it was no surprise to see Messi dominate in the wake of the World Cup and his high-profile move from PSG to Inter Miami.

Messi was the most viewed player in his new home of the United States. Not only that, he was also came out on top in all 50 states.

The Argentine made a brilliant start to life on the East Coast, scoring a number of memorable goals and helping his team win their first ever trophy.

Messi was also No 1 in China, India, South Africa, Germany, Ghana, Italy, Belgium, Sweden, Holland, Egypt, Canada, Turkey and of course Argentina.

There was little sign of old rival Cristiano Ronaldo, whose name only appeared alongside his native Portugal.

Perhaps the most surprising result was that Chelsea's Moises Caicedo was the player who led the way in England, Scotland, Wales, Ireland and Northern Ireland.

The midfielder was one of the stories of the summer transfer window as the blues beat Liverpool to secure his services.

The Reds had looked to have won the race before Chelsea beat them out with a British record fee of £115m.

Strangely, former Real Madrid star Guti was the most searched player in Colombia while it was Neymar for Brazil, Kylian Mbappe for France and Vinicius Junior for Spain.

Source: Dailymail
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom