Zomba ni janga na laaana kubwa hapa JF phew!!!!!!!
Napita manzese yani mpaka raha naona shell ya mafuta ya lake oil eti ni ya ridhiwan jamani nzuri kweli hili nimeambiwa imejengwa eneo maalum kwa soko la machinga manzese........
CHAMA
SENGEREMA
PEACE CORPS mbona wapo toka wakati wa President Nyerere na Kennedy
zomba, usichokijua ni kama usiku wa giza...Peace corps wa kimarekani wameanza kuja Tanzania toka mwaka 1962. FYI naomba nikupe hii quote kutoka ubalozi wa Marekani Tanzania mwaka 2009!Walikuwepo kabla ya Nyerere na Keneddy au hulijui hilo?
Kuhusu Marekani...baniani mbaya lakini kiatu chake dawa! Duh, naona sifa zinatafutwa hadi uvunguni mradi tu na dhaifu naye aonekane yupo.Founded in 1961 by President John F. Kennedy, the Peace Corps is a U.S. Government agency that supports over 7,000 volunteers in more than 70 countries. For 48 years, Peace Corps has maintained apolitical and non-sectarian ideals of technical and cultural exchange. Peace Corps promotes world peace and friendship by fulfilling three fundamental goals:
Over 2000 Peace Corps Volunteers have served in Tanzania since 1962. The Peace Corps provides trained American volunteers who work with communities in the fields of secondary education (math, science, and information and communications technology), health promotion, and environmental education.
- Providing American volunteers who contribute to the social and economic development of interested countries;
- Promoting a better understanding of Americans among the people who volunteers serve;
- Strengthening Americans' understanding of the world and its peoples.
The volunteers offer assistance and training on environmental education, including land degradation, preserving water catchments, soil conservation and implementation of agro-forestry techniques and emphasize partnership with women and youth. Volunteers also offer bio-intensive gardens to promote household food security as well as a variety of income generating activities.
On the health perspective, volunteers are involved in building capacity of youth, health service providers and community groups to promote and advocate for adoption of healthy behaviors including HIV/AIDS prevention, and care and support for people living with HIV/AIDS, orphans and vulnerable children. The volunteers work closely with village health committees to analyze community needs and priorities and promote behavior change in areas of maternal and child health, nutrition, malaria, waterborne diseases, sexual and reproductive health and HIV/AIDS prevention. The local health care providers gain skills in improving data management, tracking of patients, and health behavior promotion.
kama isingekuwa nyerere kutaifisha shule za wakristo sijui kuandika mgejifunzia wapi?marekani analeta walimu wa it kuchunguza uamsho na uhusiano wao na alshabab na ccm maana makanzu yamezidi ikulu na ndio mwisho wake 2015 iwe chadema au ccm sasa mrudi madrasa siasa hamziweziwalikuwepo kabla ya nyerere na keneddy au hulijui hilo?
zomba, usichokijua ni kama usiku wa giza...Peace corps wa kimarekani wameanza kuja Tanzania toka mwaka 1962. FYI naomba nikupe hii quote kutoka ubalozi wa Marekani Tanzania mwaka 2009!
Kuhusu Marekani...baniani mbaya lakini kiatu chake dawa! Duh, naona sifa zinatafutwa hadi uvunguni mradi tu na dhaifu naye aonekane yupo.
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.
Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,
Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.
Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
True!halafu pia haya hayakustahili safari,ama kifupi safari siyo justifiable kwa vigezo alivyoleta mtoa hoja.duh, ndio matunda aloleta????
Bora nagerudi na maembe boribo tukatengeneza juisi tukanywa nchi nzima.
Yaani unatumia sh. 1000, kwenda marekani, unarudi na walimu ambao gharama ya kuzalisha hao walimu hapa nchini ni kama sh. 700, bado unaona faida.
Hawa walimu si ndio dizaini za akina Ms Lizzy, Mr. shimamula na Mr. Takeuchi??? Havijui lolote, vinaletwa vitoto vilivyomaliza st. Mnyamanyi za huko kuja kujitolea hapa kwetu ili vikue kue kidogo. Lol
matunda indeed!
kama isingekuwa nyerere kutaifisha shule za wakristo sijui kuandika mgejifunzia wapi?marekani analeta walimu wa it kuchunguza uamsho na uhusiano wao na alshabab na ccm maana makanzu yamezidi ikulu na ndio mwisho wake 2015 iwe chadema au ccm sasa mrudi madrasa siasa hamziwezi
Bahati mbaya ni kwamba Tanzania haikuwepo! Colorless green ideas sleep furiously! Nevertheless zomba, you are doing just fine!Naona umekurupuka na kurukia mada bila kupitia kuisoma. ungekuta jibu ya hilo swali lako.
Waalimu walikuwepo wa mataifa mengi walikuwepo kabla ya Nyerere na Kennedy na wa Kimerekani walikuwepo Tanzania kabla ya Nyerere na Kennedy. Nyerere mwenyewe alikuwa na Mwalimu wa Kimerekani, Kennedy alijulikana wakati huo?