Watu kama wewe ni hazina iliyofichika, Mungu akuinue.Tumekusikia. Ubarikiwe na Bwana
Kweli umefanya vema mkuu, hata kunyamanza ni hekima.Mimi maneno yangu kwako naweka akiba lakini najua wengine hawatakuhurumia.
Safi sana. Big up bro RitzMimi pia nimepata nafasi ya kumuona swahiba wangu Melo leo hii.
At least gereza la Keko hali siyo mbaya kuliko segerea, keko unapata nafasi ya kuongea na mahubusu face to face ikibidi zaidi mnaongea wawili tu.
Tupo pamoja na mkuu wetu wa JF.
HakikaIpo siku Tuu
Hichi Kilio Cha Wengi Kitasikika