Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
Da hata wewe mkuu? Inatia moyo kuwa wamoja katika mambo yasiyo ya kiitikadiMimi pia nimepata nafasi ya kumuona swahiba wangu Melo leo hii.
At least gereza la Keko hali siyo mbaya kuliko segerea, keko unapata nafasi ya kuongea na mahubusu face to face ikibidi zaidi mnaongea wawili tu.
Tupo pamoja na mkuu wetu wa JF.