Safari yangu Jijini Arusha na niliyoyakuta

Mkuu ungepita na The Hub sehemu ya kistaarabu yenye vibe Kama lote kwa sasa Arusha, ni sehemu ya watu na pesa zao sema sungusungu (wanawake wa escorts) wapo ila lazima uwe mwenyeji na cha msingi ni vizuri ukienda nenda na mkeo Kama tunavyofanya sisi.Arusha is my city
Toa location (ramani ya kufika)
 
Vile nikipewa uteuzi na mama katika huo mji vitakuwa vya kwanza kuvifuta kabisa safari za mjini.

Labda vitumike kubeba wanafunzi tu,tena wakiwa katika unifomu zao.
Tatizo hata hizo Costa chache zilizoanza kupiga ruti mjini madereva wake wamezidisha bangi, nidhamu kidogo kama wanavyofanya ruti za moshi
 
Mkuu ungepita na The Hub sehemu ya kistaarabu yenye vibe Kama lote kwa sasa Arusha, ni sehemu ya watu na pesa zao sema sungusungu (wanawake wa escorts) wapo ila lazima uwe mwenyeji na cha msingi ni vizuri ukienda nenda na mkeo Kama tunavyofanya sisi.Arusha is my city
Nipe location ya hapo mkuu
 
Tatizo meno yao bana.. hivi hakuna namna wakasaidiwa kupunguza ama kuondoa kabisa hilo tatizo.

Sijamuona mkuu huyu mwarabu.

Baridi ipo lakin jamaa wamezidi uoga wa baridi.
Ulizia demu yeyote Malaya hapo kuwa mwarabu Yuko wapi.
Pia Kuna mchaga mmoja anaitwa Airene ni mzuri kinouma.yaani paja sura kifua Kama chote. Smt huwa najiuliza ni kwa Nini mademu wazuri ni Malaya wanajiuza ni mabaamedi ama ni wadangaji rejea kwa mamisi ama wanamuziki ama wasanii wenye ndoa ni kuwatafuta na torch ya watt 90000.
Ila ninavyohisi ule uzuri wao wanababaika wakiwa wadogo wanarubuniwa naa wenye pesa magari majumba mazuri tayari hao Wana familia zao sema wanastarehe.
Ukienda wewe anakuona kinyaa zaidi ya mzoga ulioza funza wamejaa.
Unapanda daladala yeye anapandishwa benzi anapelekewa hotel Kali za kulipia laki 5,
Anakuja kushtuka hajui baba wa mtt Mara alikuwa anasterehesha wanaume.
Anarudi kwako mliyekuwa mnasoma naye umeshaoa maana muda huo alikudharau.
Yaani binti wa olevo anaongea kiujasiri kabisa Sasa mwenzangu anapewa hela Kama mie nitembee naye wa nini.atanisaidia Nini.
So anaamua kuwa Malaya mazima anadanga mtandaoni,dating za babu wa kizungu Ila hapati
 
Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.

Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.

Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.

Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.

1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.

2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.

3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.

Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.

4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.

5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.

6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.

7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?

Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.

8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.

Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.

Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.

Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.

Fantastic stay in your city.

Karibuni pia kwa wanalizombe.
Si uoga wa wa baridi..
Mwili unaweza kuathirika ukidhani husikii baridi..
Hivi vitu ni vya kibaiolojia zaidi..
Binafsi "najijaladia" mwaka mzima..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.

Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.

Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.

Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.

1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.

2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.

3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.

Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.

4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.

5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.

6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.

7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?

Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.

8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.

Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.

Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.

Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.

Fantastic stay in your city.

Karibuni pia kwa wanalizombe.
Hapo kwa madereva wa daladala kwakweli ni kero kubwa mno.. Anaweza simama hata katikati ya barabara kupakia abiria.. Watumiaji wengine wa barabara inabidi msubiri. Vituo vya kupakilia abiria havizingatiwi hata kidogo,
Dereva anasimama popote hata kama kituo kipo mita moja mbele.. Ukizingatia na vi barabara vyenyewe vilivyo vyembamba.
 
Aisee hapo kwenye boda boda umenikumbusha kitu ,madereva wa huku wanafujo sana toyo zao kwanza wametoa taa zake then wanaweka vile vitaa vidogo lkn mwanga wake mkali zinaumiza macho.

pili Toyo zao wanazifanyaje sijui zinatoa milio kama wa risasi mkali sana kama unamatatizo ya moyo ni hatari kwako ,na hio tabia karibu toyo zote nilizo kutana nazo

Nipo kijenge ,mwanama
Hahaha inaitwa "kutoboa bomba" akipiga stata Kama uko hapo karibu unaeza anguka na presha. Machali bhana wanafeligi sana
 
Tatizo hata hizo Costa chache zilizoanza kupiga ruti mjini madereva wake wamezidisha bangi, nidhamu kidogo kama wanavyofanya ruti za moshi
Kiukweli masuka wa hapa, wakitupia majani yao barabarani wako vizuri hukuti ajali hovyo hovyo barabarani
 
"asee chalii yake si ni nimembutua deree, kila nikimmanya anaongea nfa nfa nfa, nikaona huyu ni nte"

Huyu mjinga alikuwa ananiambia hizi stori mtaani kwao hapo Esso, hata sikuelewa yaan
Haaaaa halaf ni kawaida sana kukuta mtu na mpenziwe wakiongea hizo lugha, zile lugha za malovee kama wengine huko hamna
 
Aisee hapo kwenye boda boda umenikumbusha kitu ,madereva wa huku wanafujo sana toyo zao kwanza wametoa taa zake then wanaweka vile vitaa vidogo lkn mwanga wake mkali zinaumiza macho.

pili Toyo zao wanazifanyaje sijui zinatoa milio kama wa risasi mkali sana kama unamatatizo ya moyo ni hatari kwako ,na hio tabia karibu toyo zote nilizo kutana nazo

Nipo kijenge ,mwanama
Dah umenikumbusha mwanama aisee nilikaa kidogo sana hapo time naingia chuga nikiwa na swaga zangu za kibongo.
Ujanja wangu uliishia hapo. 😢😢watu Wa chuga sio Jamanii
 
Back
Top Bottom